DOCTOR UZI
Member
- Apr 28, 2020
- 99
- 79
YA KAMPUNI MOJA AU?Pakia kwenye bus hata mbili. Alafu ulitakiwa kusafiri mapema.
ZIPO WAPI MKUU WANGUTumia gari za mizigo..Nenda kwenye ofisi za usafurishaji mizigo.
Yani wasomi wa siku hizi. Mmekaa kizembe kweli. Hivi huwezi amka apo na kufatilia upate usafiri mpaka kila kitu utafniwe?YA KAMPUNI MOJA AU?
Tumia Boda boda boxer 100 mkuu dk 0 vitu vyako vinafika Dom.Wakuu za muda huu,
Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)
Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.
Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
UKIGOOGLE BEI YA KITU MTANDAONI BADALA YA KWENDA SEHEMU HUSIKA KUILIZIA KWAKO NI UZEMBE?Yani wasomi wa siku hizi. Mmekaa kizembe kweli. Hivi huwezi amka apo na kufatilia upate usafiri mpaka kila kitu utafniwe?
Unapajua Jangwani mkuu? Fika pale na vitu vyako kuna Fuso za kutosha watakupakilia mizigo yako yote na ndani ya masaa 24 vitakuwa viko East Zoo!Wakuu za muda huu,
Moja kwa moja kwenye mada au swali , mm ni mwanachuo nasoma Dom ila naishi dar kuna baadhi ya vitu nataka nivipeleke kwenye geto langu la dom (kitanda 5*6,tv ,fridge)
Sasa wakuu nilikuwa nataka kujua kama kuna usafirishaji mwengine ukitoa wa bus maana hawataki kusafirisha vyote kwa pamoja uchukue kimoja uache viwili na mm nataka vyote niende navyo au vipakiwe kwa pamoja.
Nitumie njia gani au usafiri gani wakuu wangu?
Maana tren inapaa angani!Tumia Treni mkuu, sababu bei yake ni nafuu wala haito zidi 20,000 kwa vyote hivyo. Pia ni salama sana kwasababu havitapata mitikisiko.