Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Jamani nimetafakari kuhusu biashara zangu nikaona bila kuwa na usafiri wangu binafsi nitaendelea kuteseka mno kwa kudandia dandia za watu.
Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu (watu) yaani used nimepata tatu zote tvs.
Moja namba D sikusoma speedometer ya pili namba C speedometer inasoma 176340 ya tatu namba C ila speedometer wameng'oa.
Sina uzoefu na vyombo vya moto hata baiskeli sina wazoefu na vifaa hivyo msaada nimiliki fukuza upepo.
Pia siyo tatizo nikifahamu hatua za umiliki au kubadili umiliki kuwa jina langu...karibuni Great thinkers
Nimeamua kutafuta usafiri wangu binafsi kutoka kwa mtu (watu) yaani used nimepata tatu zote tvs.
Moja namba D sikusoma speedometer ya pili namba C speedometer inasoma 176340 ya tatu namba C ila speedometer wameng'oa.
Sina uzoefu na vyombo vya moto hata baiskeli sina wazoefu na vifaa hivyo msaada nimiliki fukuza upepo.
Pia siyo tatizo nikifahamu hatua za umiliki au kubadili umiliki kuwa jina langu...karibuni Great thinkers