Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Fundi ni Kama dalali yeye anataka ununue apate chake. Yatakayokukuta hayumo.Amina.... nilikuwa nazunguka na fundi wangu ila kazi yake niliona ni kusifia tu kila pkpk inayoletwa kwamba hii ni nzuri, hii ni machine.....dadeki
Daaah shukrani sana, hakika nimepata elimu na pa kuanzia, shukrani tena.Ndugu mtoa mada nikwambie tu kwamba huyo fundi anayesifia kila pikipiki eti mashine achana nae.
Kwanza pikipiki nzima huna haja ya kuhangaika na fundi maaha changamoto ndogondogo ni kawaida, cha msingi angalia;
INJINI
~kwanza sikiliza mlio wa engine. Ingine isiyo na shida inarun smooth haina kelele haigongigongi ndani hata asiyefundi ataweza tofautisha nzima na mbovu.
~hakikisha engine haivujishi oil, hapa kuwa makini na aliyeosha pikipiki ili akuoneshe.
~angalia bolts za kwenye engine zisiwe zimefunguliwa mara kwa mara, zilizofunguliwa mara kwa mara vichwa vyake vinakuwa na injury
~hakikisha haitoi moshi, weka kidole kwenye bomba la exhaust, unatakiwa kupata rangi nyeusi kavu isiyo na mchanganyiko wa oil.
CHASIS
~angalia chasis isiwe imechomelewa, isiwe na kutu sana, isiwe na sehemu zilizopinda.
USUKANI
~usukani uliopinda ama tenki lililobonyea huashiria ajali, epuka hiyo.
SHOCK UP ZA MBELE
hakikisha hazijapinda na hazivujishi oil
HALI YA VIFAA VINGINE
angalia hali ya vifaa vingine kwa macho vitasema utunzwaji wa pikipiki ulikuwaje, mf. dashboard kama hiyo iliyong'olewa inaashilia hata utunzwaji wa pikipiki sio mzuri achana nayo.
Lakini niseme pia plate namba sio kigezo. namba C inaweza kuwa imetunzwa kuliko hata D. Hapa hata jicho tu linaweza ona baadhi ya ishara.
Kwa upande wa TVS kama ni cc150 achana nazo maana zina changamoto nyingi sana, TVS cc125 ni stahimilivi sana na imara pia.
Kama walivosema wadau hapo juu, kwanza angalia aliyekuwa anaitumia kwa mishe mishe zake binafsi na sio bodaboda. mfano hiyo namba C inayosona 176,000 Km ni wazi hiyo ni bodaboda.
Kingine ukipata mwenye nyaraka halali basi sawa, japo kwa upande wa pikipiki ni wachache sana hufanya transfer ya majina wengi hubaki na majina ya kampuni kwenye kadi.
Kila la kheri.
Na kwenye Gari pia ni hivi hivi? Naona kama unajua mambo mengi. Tuelimishe Mama NaaTaarifa unazipata kwenye kadi, kama anaeuza nae alinunua kwa mtu ( kwenye kadi sio jina lake ) akupe mkataba wa mauziano na kama hana hiyo pikipiki achana nayo.
Pikipiki unanunua kwa mkataba wa mauziano na kupewa kadi. Pia kwenda TRA kubadilisha umiliki ( hapa utalipia kodi 10% ya bei na elfu 20 ya kubadili umiliki.) Hapa umemaliza.
TRA hawawezi kukosa kujua Kodi kwani Piki piki imesajiriwa na inakuwa kwenye mfumo. Sidhani kama wanahitaji Mmiliki wa mwanzo kujua Kodi ya ChomboKama anaeuza sasa hakubadilisha umiliki mwanzoni endapo kama nae alinunua kwa mtu, mlolongo wake ni mrefu kidogo maana TRA watataka Kodi yao ya mwanzo kwanza ndio ifuate hiyo ya pili.
NDIO MAANA PIKIPIKI NYINGI WATU WANAUZIANA KIENYEJI TU UKIPATA MSALA BASI AJALI KAZINI.
kimsingi umetoa ufafanuzi mzuri.. atakuwa kaelewaNdugu mtoa mada nikwambie tu kwamba huyo fundi anayesifia kila pikipiki eti mashine achana nae.
Kwanza pikipiki nzima huna haja ya kuhangaika na fundi maaha changamoto ndogondogo ni kawaida, cha msingi angalia;
INJINI
~kwanza sikiliza mlio wa engine. Ingine isiyo na shida inarun smooth haina kelele haigongigongi ndani hata asiyefundi ataweza tofautisha nzima na mbovu.
~hakikisha engine haivujishi oil, hapa kuwa makini na aliyeosha pikipiki ili akuoneshe.
~angalia bolts za kwenye engine zisiwe zimefunguliwa mara kwa mara, zilizofunguliwa mara kwa mara vichwa vyake vinakuwa na injury
~hakikisha haitoi moshi, weka kidole kwenye bomba la exhaust, unatakiwa kupata rangi nyeusi kavu isiyo na mchanganyiko wa oil.
CHASIS
~angalia chasis isiwe imechomelewa, isiwe na kutu sana, isiwe na sehemu zilizopinda.
USUKANI
~usukani uliopinda ama tenki lililobonyea huashiria ajali, epuka hiyo.
SHOCK UP ZA MBELE
hakikisha hazijapinda na hazivujishi oil
HALI YA VIFAA VINGINE
angalia hali ya vifaa vingine kwa macho vitasema utunzwaji wa pikipiki ulikuwaje, mf. dashboard kama hiyo iliyong'olewa inaashilia hata utunzwaji wa pikipiki sio mzuri achana nayo.
Lakini niseme pia plate namba sio kigezo. namba C inaweza kuwa imetunzwa kuliko hata D. Hapa hata jicho tu linaweza ona baadhi ya ishara.
Kwa upande wa TVS kama ni cc150 achana nazo maana zina changamoto nyingi sana, TVS cc125 ni stahimilivi sana na imara pia.
Kama walivosema wadau hapo juu, kwanza angalia aliyekuwa anaitumia kwa mishe mishe zake binafsi na sio bodaboda. mfano hiyo namba C inayosona 176,000 Km ni wazi hiyo ni bodaboda.
Kingine ukipata mwenye nyaraka halali basi sawa, japo kwa upande wa pikipiki ni wachache sana hufanya transfer ya majina wengi hubaki na majina ya kampuni kwenye kadi.
Kila la kheri.
WellNdugu mtoa mada nikwambie tu kwamba huyo fundi anayesifia kila pikipiki eti mashine achana nae.
Kwanza pikipiki nzima huna haja ya kuhangaika na fundi maaha changamoto ndogondogo ni kawaida, cha msingi angalia;
INJINI
~kwanza sikiliza mlio wa engine. Ingine isiyo na shida inarun smooth haina kelele haigongigongi ndani hata asiyefundi ataweza tofautisha nzima na mbovu.
~hakikisha engine haivujishi oil, hapa kuwa makini na aliyeosha pikipiki ili akuoneshe.
~angalia bolts za kwenye engine zisiwe zimefunguliwa mara kwa mara, zilizofunguliwa mara kwa mara vichwa vyake vinakuwa na injury
~hakikisha haitoi moshi, weka kidole kwenye bomba la exhaust, unatakiwa kupata rangi nyeusi kavu isiyo na mchanganyiko wa oil.
CHASIS
~angalia chasis isiwe imechomelewa, isiwe na kutu sana, isiwe na sehemu zilizopinda.
USUKANI
~usukani uliopinda ama tenki lililobonyea huashiria ajali, epuka hiyo.
SHOCK UP ZA MBELE
hakikisha hazijapinda na hazivujishi oil
HALI YA VIFAA VINGINE
angalia hali ya vifaa vingine kwa macho vitasema utunzwaji wa pikipiki ulikuwaje, mf. dashboard kama hiyo iliyong'olewa inaashilia hata utunzwaji wa pikipiki sio mzuri achana nayo.
Lakini niseme pia plate namba sio kigezo. namba C inaweza kuwa imetunzwa kuliko hata D. Hapa hata jicho tu linaweza ona baadhi ya ishara.
Kwa upande wa TVS kama ni cc150 achana nazo maana zina changamoto nyingi sana, TVS cc125 ni stahimilivi sana na imara pia.
Kama walivosema wadau hapo juu, kwanza angalia aliyekuwa anaitumia kwa mishe mishe zake binafsi na sio bodaboda. mfano hiyo namba C inayosona 176,000 Km ni wazi hiyo ni bodaboda.
Kingine ukipata mwenye nyaraka halali basi sawa, japo kwa upande wa pikipiki ni wachache sana hufanya transfer ya majina wengi hubaki na majina ya kampuni kwenye kadi.
Kila la kheri.
Duh ila nao wezi 10% ya mauzo ya nini wakati walishachukua kodi yao.Taarifa unazipata kwenye kadi, kama anaeuza nae alinunua kwa mtu ( kwenye kadi sio jina lake ) akupe mkataba wa mauziano na kama hana hiyo pikipiki achana nayo.
Pikipiki unanunua kwa mkataba wa mauziano na kupewa kadi. Pia kwenda TRA kubadilisha umiliki ( hapa utalipia kodi 10% ya bei na elfu 20 ya kubadili umiliki.) Hapa umemaliza.
Sahihi kabisaChanzo cha raia kukwepa kulipa kodi ni viongozi na mifumo yao mibovu.
Kagua mpaka injini km imefunguliwa mara ngapi baada ya hapo ndio unaamua unasuka au unanyoaKwamba kabla ya kutoa mshiko unaenda na fundi wako kushusha gia box πππ
Ubarikiwe ninja.Ndugu mtoa mada nikwambie tu kwamba huyo fundi anayesifia kila pikipiki eti mashine achana nae.
Kwanza pikipiki nzima huna haja ya kuhangaika na fundi maaha changamoto ndogondogo ni kawaida, cha msingi angalia;
INJINI
~kwanza sikiliza mlio wa engine. Ingine isiyo na shida inarun smooth haina kelele haigongigongi ndani hata asiyefundi ataweza tofautisha nzima na mbovu.
~hakikisha engine haivujishi oil, hapa kuwa makini na aliyeosha pikipiki ili akuoneshe.
~angalia bolts za kwenye engine zisiwe zimefunguliwa mara kwa mara, zilizofunguliwa mara kwa mara vichwa vyake vinakuwa na injury
~hakikisha haitoi moshi, weka kidole kwenye bomba la exhaust, unatakiwa kupata rangi nyeusi kavu isiyo na mchanganyiko wa oil.
CHASIS
~angalia chasis isiwe imechomelewa, isiwe na kutu sana, isiwe na sehemu zilizopinda.
USUKANI
~usukani uliopinda ama tenki lililobonyea huashiria ajali, epuka hiyo.
SHOCK UP ZA MBELE
hakikisha hazijapinda na hazivujishi oil
HALI YA VIFAA VINGINE
angalia hali ya vifaa vingine kwa macho vitasema utunzwaji wa pikipiki ulikuwaje, mf. dashboard kama hiyo iliyong'olewa inaashilia hata utunzwaji wa pikipiki sio mzuri achana nayo.
Lakini niseme pia plate namba sio kigezo. namba C inaweza kuwa imetunzwa kuliko hata D. Hapa hata jicho tu linaweza ona baadhi ya ishara.
Kwa upande wa TVS kama ni cc150 achana nazo maana zina changamoto nyingi sana, TVS cc125 ni stahimilivi sana na imara pia.
Kama walivosema wadau hapo juu, kwanza angalia aliyekuwa anaitumia kwa mishe mishe zake binafsi na sio bodaboda. mfano hiyo namba C inayosona 176,000 Km ni wazi hiyo ni bodaboda.
Kingine ukipata mwenye nyaraka halali basi sawa, japo kwa upande wa pikipiki ni wachache sana hufanya transfer ya majina wengi hubaki na majina ya kampuni kwenye kadi.
Kila la kheri.