Nitumie vipi Carotone nipate matokeo mazuri?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Alisikika ray kigosi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
natumai nitapata majib
 
Achana na vicream uchwara hiyo carotone itakuunguza uso na kukuachia sugu tu
 
Hujapata matokeo mazuri yapi, ulitaka ikufanyaje hujaweka wazi hapo.... ila kama ni weupe basi nenda duka hilo hilo waambie wakupe maji ya kuchanganyia kwenye lotion yako.... wanazo watakupa.
 
"PrincessAnne, post: 24872944, member: 446738"]Achana na vicream uchwara hiyo carotone itakuunguza uso na kukuachia sugu tu[/QUOTE]
Ipi bora mkuu
 
carotone ni cream ambayo huwa inachubua..,achana nayo, kwanza ni illegal kuuzwa madukani sema wauzaji wanuza kwa sirisiri tu.... ridhika na jinsi Mungu alivyokuumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…