Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataabu sana hawa ndugu zetu.Ni ba mutu ba Congo.
Achanganye na JIK ili kupata matokeo mazuri kwa kasi zaidi.carotone ni cream ambayo huwa inachubua..,achana nayo, kwanza ni illegal kuuzwa madukani sema wauzaji wanuza kwa sirisiri tu.... ridhika na jinsi Mungu alivyokuumba
Mwanaume unaanzaje kuuliza maswali ya kiwaki?sikuelewi boss sijui unamaana gani
Na mm naitaka nataipata wapi?carotone ni kiboko tatzo kile kichupa ni kidogo mno watengeneze kubwa mnoo
[emoji2] [emoji2] wee ulichanganya na nininimeanza kushine kwa kweli
kapicha basinimeanza kushine kwa kweli
Tumia rapid white kopo fuphahaha maji hapana boss situmii mkorogo
Anunue vaseline tu itamfaa zaidi hata kwa matumizi mengine kutokana na huko anakoelekea.Nisianze kwa kukuhukumu labda uelewa juu ya hayo mafuta yako hauna...ila kama uko kwenye baridi nunua vaseline yale mazito ili baridi isipenyeze kwenye ngozi ila kama uko kwenye jua kali basi nunua sunscreen lotion ili miale ya jua isiharibu ngozi....