ClearingAgent
Member
- Nov 15, 2022
- 29
- 26
Nafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini.
Mawasiliano:
WhatsApp & Call 0652802379
Mawasiliano:
WhatsApp & Call 0652802379
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Procedures na document zinazotumika kwenye exportsNafanya clearing za mizigo ya ina yote bandarini
Mawasiliano
WhatsApp & Call 0652802379
ProceduresProcedures na document zinazotumika kwenye exports
Calculation inategemea na invoice ya hivo vifaa na mashine ili kupata kodi ya serikali baada ya hapo pia utatakiwa kulipa other port charges fee kwa ajili ya kutoa mzigo wakoCalculation ya vifaa na mashine za kilimo utaratibu na gharama zake zipoje.
Nawezaje kujua gharama ya kutoa mizigo (kontena 20 feet) bandarini kabla ya mzigo haujafika ili kujiandaa kifedha?Nafanya clearing za mizigo ya ina yote bandarini
Mawasiliano
WhatsApp & Call 0652802379
Gharama za utoaji wa kontena inapatikana kutokana na CBM za kontena na uzito wake hivo ni muhimu kujua limebeba nini au raw material gani ila ukiachana na ushuru basi max inaweza kucost 2MNawezaje kujua gharama ya kutoa mizigo (kontena 20 feet) bandarini kabla ya mzigo haujafika ili kujiandaa kifedha?
Clearing Agent au wakala wa forodha huyu ni mtu wa katikati kati ya mteja na bandari anaefanikisha clearance procedures kwa niaba ya mteja kwa ajili ya kutoa mzigo bandarini au viwanja vya ndege au borderNafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini.
Mawasiliano:
WhatsApp & Call 0652802379
Booking,release order na shipping order ni nini? Na nani anahusika kuandaa na gharama zake zipoje?Procedures
1. Mtafute clearing agent aliesajiliwa
2. Kisha mkabidhi documents zote pia hakikisha unabaki na copies zake
3. Agent ataziupload documents zote TANCIS
4. Pia agent atasubmits shipping order kwa TPA zikiwa na TRA approved loading list
5. TPA itatoa invoice kwa ajili ya malipo
6. Baada ya malipo TPA itatoa risiti ya malipo
7. Pia agent ataupload truck announcement document kwenye cargo system
8. Kisha dereva atapata gate-in ticket kutoka kwenye system itakayomuwezesha kuruhusiwa kuingia bandarini
9. Kisha baada ya mzigo kuingia bandarini, TPA itapokea mzigo wako kwa ajili ya kusafirisha
Documents
1. Invoice
2. Packing list
3. Authorization letter
4. Export certificate kutoka kwenye mamlaka husika kulingana na aina ya mzigo unaotaka kusafirisha mfano wizara ya kilimo, maliasili, madini n.k
Booking order hii ni document ambayo shipping line anaitoa kwa shipper(exporter) ku confirm booking request yaani ni Kama unabook nafasi katika meli pamoja na kontenaBooking,release order na shipping order ni nini? Na nani anahusika kuandaa na gharama zake zipoje?
Mali ya serikali hiyo hailopiwi Kodi maana ni kama unatoa pesa mfuko wa shati unaeka wa kwenye suruali😅Hivi magari ya serikali v8 huwa yanakatiwa kodi bandarini?
Swali: hiyo clearence haiwezi kufanywana mteja? Kwa lugha nyepesi kwa nn nitumie clearing agent
Nafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini.
Mawasiliano:
WhatsApp & Call 0652802379
Kuhusu tractor kuna tetesi ushuru na kodi zinerudishwa kinyemela kuna ukweli?Calculation inategemea na invoice ya hivo vifaa na mashine ili kupata kodi ya serikali baada ya hapo pia utatakiwa kulipa other port charges fee kwa ajili ya kutoa mzigo wako
Hizi ni code ambazo hutumika kuainisha na kufafanua bidhaa zinazouzwa kimataifa.HTC code ni nini?
USHAURINafanya clearing za mizigo ya aina yote bandarini.
Mawasiliano:
WhatsApp & Call 0652802379