Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Status
Not open for further replies.
Kampuni bado ipo ama imeyoyoma?





 
Website haifunguki[emoji16][emoji16][emoji16]
drakelaugh (1).png
 
Tulisema na tukaonya, haya sasa mtu kala kona...huyu mhamasishaji huko aliko anatamani ardhi ipasuke.
Kibaya zaidi nimekuja kugundua waliopigwa sana ni watumishi hasa kada ya Ualimu
 
Ngoja waje Kudhibiti.... unadhani chuki zako zinaweza kuzaa matunda??!... Mlimpigia kura Diamond asipate BET kisa tu ni kada wa CCM... Roho za watanzania wengi zimejaa chuki na kuona watu wanaothubutu wamefeli!
Huyu jamaa inabidi akamatwe kusaidia kupatikana Kwa wamiliki WA hii Ponzi maana tayari wameanzisha nyingine.
Maxence Melo na JamiiForums wekeni Sera za kudhibiti shady investments kama hizi mbona nairaland wanazuia post za namna hii.
 
Sikiliza moyo wako!!
habari mkuu, natamani sana kupata mrejesho wako kwenye hili sio kujua kama unauchungu au huna umepata hasara au hujapata la hasha napenda kujua nikweli kabisa hukuona hii kama utaperi na nini hasa kilikusukuma uione kama kitu kizuri ni nyalaka za usajiri na uwepo wa ofisi na watu wa mwanzoni kulpwa pekee vilikufanya uwaamini na je swala kwamba hawakuwa wakiuza bidhaa wala huduma yoyote halikukupa shaka au hilo pia hukuliwaza kabisa nitafurahi nikipata majibu yako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom