Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Niulize chochote kuhusu Kalynda E-commerce

Status
Not open for further replies.
Sijui kwanini kuna watu wapo kwa ajili ya kupinga kila kitu.... Afu tabia ya kujifanya kujua bila kufanya research... sio kila biashara ya mtandao ni utapeli dunia imebadilika ... Technology imekua, nyakati zimebadilika!!
Wacha wee
 
Kuna wajanja wameweka makalio huko ofisini tena ghorofani wanasubiri makusanyo ya hela za 'wapumbavu na malofa' kisha kuzipata hizo hela wanatimkia ughaibuni 😂

DECI ilipopiga hela za Wachungaji kuna watu humu walikuwa hawajazaliwa, wapigaji wamekuwepo na wataendelea kuwepo, muwe makini bandugu mtapigwaaa.
Nabii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom