Niulize chochote kuhusu kutoboa ukiwa na maisha magumu. Natoa mbinu za Bure ila ngumu kama unamoyo lelemama

Niulize chochote kuhusu kutoboa ukiwa na maisha magumu. Natoa mbinu za Bure ila ngumu kama unamoyo lelemama

Mimi nataka kuwa mama mwenye mafanikio lakini sitak changamoto za kufika napotaka je unanishaurije!?😉
aisee!!!
umeziba kila kona sioni hata mwanya wa kuanzia kutoa lekcha mkuu. Maana unataka kutoboa kwwnye wepesi, wakati tunatafa watu wanaotaka kutoboa kwwnye ugumu
 
Hata sasa hivi ofcourse!
Sawa mkuu, umenipa kazi ngumu sana maana nilikuwa najua maisha magumu yanatatuliwa hata na 1000 au 2000 kama mtaji, sasa 500000 mtaji unataka nitoe desa la watu wenye maisha mazuri.

Basi nikushauri
Zunguka Jijini makazi mapya ( tafuta kibarua cha ujenzi). kwa siku huwa ni 15000. Ukikomaa siku sita utakuwa na 90000. toa 10000 ya kujifanyia service ikiwemo na msosi.

80000 nunua karanga sokoni Kilo moja inauzwa 2500. na charges nyingine tufanye 3000.
Utanunua kilo 26.
kwa discount unaweza kupata kilo 30 kwa sababu utakuwa umefanya bulk purchase.

Kwa siku 14, Tukitegemea faida ya 5000 kwa kilo. utakuwa na 1.5Mil.

Laki tano Unatumia kama kama mtaji unaotaka, laki tano unamtolea mahali mchumba, laki tano unampa mtaji wife.



ila nitake radhi, kwa kunipa kazi hii mkuu
 
Sawa mkuu, umenipa kazi ngumu sana maana nilikuwa najua maisha magumu yanatatuliwa hata na 1000 au 2000 kama mtaji, sasa 500000 mtaji unataka nitoe desa la watu wenye maisha mazuri.

Basi nikushauri
Zunguka Jijini makazi mapya ( tafuta kibarua cha ujenzi). kwa siku huwa ni 15000. Ukikomaa siku sita utakuwa na 90000. toa 10000 ya kujifanyia service ikiwemo na msosi.

80000 nunua karanga sokoni Kilo moja inauzwa 2500. na charges nyingine tufanye 3000.
Utanunua kilo 26.
kwa discount unaweza kupata kilo 30 kwa sababu utakuwa umefanya bulk purchase.

Kwa siku 14, Tukitegemea faida ya 5000 kwa kilo. utakuwa na 1.5Mil.

Laki tano Unatumia kama kama mtaji unaotaka, laki tano unamtolea mahali mchumba, laki tano unampa mtaji wife.



ila nitake radhi, kwa kunipa kazi hii mkuu
Duh! Hiyo siwezi Iseee! Hila nimewasaidia wanaoweza!
 
Back
Top Bottom