Niulize chochote kuhusu kutoboa ukiwa na maisha magumu. Natoa mbinu za Bure ila ngumu kama unamoyo lelemama

Niulize chochote kuhusu kutoboa ukiwa na maisha magumu. Natoa mbinu za Bure ila ngumu kama unamoyo lelemama

Mkuu nipe hizo mbinu ata kama ni ngumu tutaenda nazo tu.
asante mkuu

kwanza kupunguza matumizi ya fedha. hizi ni extreme kidogo.


1: Usioge na Sabuni. Maji yanauwezo wa kusafisha wale bakteria wanaoleta harufu mbaya. Hapa utapunguza gharama za sabuni na maji.
2: Sio lazima ununue dawa ya meno, unaweza kutumia shapa mandashi kama mbadala na ukadumu nayo muda mrefu kwa kaunga kadogo tu.

anzia hapo mkuu
 
Mkuu sio ngumu, sema hatuna utayari wa kufanya mambo magumu.
Tusiombe mambo yawe marahisi, bali tuombe uwezo wa kukabliliana na mambo magumu
Inategemeana kwa kila mmoja.
Mimi naweza nikabeba zege kuliko kukaa barabarani kuuza karanga mia mia.
 
Sawa mkuu, umenipa kazi ngumu sana maana nilikuwa najua maisha magumu yanatatuliwa hata na 1000 au 2000 kama mtaji, sasa 500000 mtaji unataka nitoe desa la watu wenye maisha mazuri.

Basi nikushauri
Zunguka Jijini makazi mapya ( tafuta kibarua cha ujenzi). kwa siku huwa ni 15000. Ukikomaa siku sita utakuwa na 90000. toa 10000 ya kujifanyia service ikiwemo na msosi.

80000 nunua karanga sokoni Kilo moja inauzwa 2500. na charges nyingine tufanye 3000.
Utanunua kilo 26.
kwa discount unaweza kupata kilo 30 kwa sababu utakuwa umefanya bulk purchase.

Kwa siku 14, Tukitegemea faida ya 5000 kwa kilo. utakuwa na 1.5Mil.

Laki tano Unatumia kama kama mtaji unaotaka, laki tano unamtolea mahali mchumba, laki tano unampa mtaji wife.



ila nitake radhi, kwa kunipa kazi hii mkuu

U wish!
 
asante mkuu

kwanza kupunguza matumizi ya fedha. hizi ni extreme kidogo.


1: Usioge na Sabuni. Maji yanauwezo wa kusafisha wale bakteria wanaoleta harufu mbaya. Hapa utapunguza gharama za sabuni na maji.
2: Sio lazima ununue dawa ya meno, unaweza kutumia shapa mandashi kama mbadala na ukadumu nayo muda mrefu kwa kaunga kadogo tu.

anzia hapo mkuu
[emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom