matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
asante mkuuMkuu nipe hizo mbinu ata kama ni ngumu tutaenda nazo tu.
kwanza kupunguza matumizi ya fedha. hizi ni extreme kidogo.
1: Usioge na Sabuni. Maji yanauwezo wa kusafisha wale bakteria wanaoleta harufu mbaya. Hapa utapunguza gharama za sabuni na maji.
2: Sio lazima ununue dawa ya meno, unaweza kutumia shapa mandashi kama mbadala na ukadumu nayo muda mrefu kwa kaunga kadogo tu.
anzia hapo mkuu