matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
asante mkuuMkuu nipe hizo mbinu ata kama ni ngumu tutaenda nazo tu.
mkuu unaweza nini sasaDuh! Hiyo siwezi Iseee! Hila nimewasaidia wanaoweza!
naona, umeretreat na kusurrender 😀😀😀Duh! Hiyo siwezi Iseee! Hila nimewasaidia wanaoweza!
Unataka kuipata ndani ya Muda gani
Mkuu sio ngumu, sema hatuna utayari wa kufanya mambo magumu.Hata hivi hiyo ni ngum
Mkuu sio ngumu, sema hatuna utayari wa kufanya mambo magumu.
Tusiombe mambo yawe marahisi, bali tuombe uwezo wa kukabliliana na mambo magumu
Inategemeana kwa kila mmoja.Mkuu sio ngumu, sema hatuna utayari wa kufanya mambo magumu.
Tusiombe mambo yawe marahisi, bali tuombe uwezo wa kukabliliana na mambo magumu
Sawa mkuu, umenipa kazi ngumu sana maana nilikuwa najua maisha magumu yanatatuliwa hata na 1000 au 2000 kama mtaji, sasa 500000 mtaji unataka nitoe desa la watu wenye maisha mazuri.
Basi nikushauri
Zunguka Jijini makazi mapya ( tafuta kibarua cha ujenzi). kwa siku huwa ni 15000. Ukikomaa siku sita utakuwa na 90000. toa 10000 ya kujifanyia service ikiwemo na msosi.
80000 nunua karanga sokoni Kilo moja inauzwa 2500. na charges nyingine tufanye 3000.
Utanunua kilo 26.
kwa discount unaweza kupata kilo 30 kwa sababu utakuwa umefanya bulk purchase.
Kwa siku 14, Tukitegemea faida ya 5000 kwa kilo. utakuwa na 1.5Mil.
Laki tano Unatumia kama kama mtaji unaotaka, laki tano unamtolea mahali mchumba, laki tano unampa mtaji wife.
ila nitake radhi, kwa kunipa kazi hii mkuu
mkuu umeandika mambo makubwa sana kuliko mada. hapa ndio tunafeliaHii ndio halisi zaid,tuombe uwezo wa kukabiliana na mambo magumu.. Bravoo
mkuu umeandika mambo makubwa sana kuliko mada. hapa ndio tunafelia
karibu.
hahahaha
mkuu maneno mingi ndio yanasababisha tunakufa njaa. karibu tupeane mbine
[emoji4][emoji4]asante mkuu
kwanza kupunguza matumizi ya fedha. hizi ni extreme kidogo.
1: Usioge na Sabuni. Maji yanauwezo wa kusafisha wale bakteria wanaoleta harufu mbaya. Hapa utapunguza gharama za sabuni na maji.
2: Sio lazima ununue dawa ya meno, unaweza kutumia shapa mandashi kama mbadala na ukadumu nayo muda mrefu kwa kaunga kadogo tu.
anzia hapo mkuu
Nataka mkopo!mkuu unaweza nini sasa