Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna species nyingi sana za nyuki, lakini kwa hapa Tanzania tuna species kuu moja yenye sub species 3.Kuna aina ngapi ya nyuki?species?
Ni kweli, maana ile mshale wake (sting apparatus) imeungana na utumbo, so mkuki ukiingia kwenye mwili wako hauwezi kutoka bali yeye anafumuka nyuma utumbo unakatika. Atakufa tu. So please dont get stung by bees, utatumalizia nyuki wetu.Kuna ukweli kwamba nyuki aki sting anakufa?
Asali ya Nyuki wadogo (stingless bees honey) ni Asali nyepesi na ina virutubisho vingi na ina anti-oxidants nyingi. Ndio maana pamoja na wepesi wake (maana ina maji mengi kuliko ya nyuki wakubwa) bado hai ferment. So hizi anti-oxidants ndio zinaifanya kuwa bora na kuwa medicinal, na hivyo kuwa ghali. Sio kwamba asali ya nyuki wadogo sio dawa, la hasha, ila ya nyuki wadogo ina anti-oxidants nyingi kuliko ya nyuki wakubwa japo zote zina hizo anti-oxidantsNini tofauti ya asali ya nyuki wadogo na ile ya nyuki wakubwa?(nutrition value). Kwanini asali ya nyuki wadogo inauzwa bei kubwa kulinganisha na ya nyuki wakubwa?
Kuna aina ngapi za stingless bees?Asali ya Nyuki wadogo (stingless bees honey) ni Asali nyepesi na ina virutubisho vingi na ina anti-oxidants nyingi. Ndio maana pamoja na wepesi wake (maana ina maji mengi kuliko ya nyuki wakubwa) bado hai ferment. So hizi anti-oxidants ndio zinaifanya kuwa bora na kuwa medicinal, na hivyo kuwa ghali. Sio kwamba asali ya nyuki wadogo sio dawa, la hasha, ila ya nyuki wadogo ina anti-oxidants nyingi kuliko ya nyuki wakubwa japo zote zina hizo anti-oxidants
Akikujibu nisitueKwanini nyuki wakiwa porini huko au kwenye mzinga wanakuwa wakali lakini akiwa maeneo ya karibu na binadamu mfano kwenye mashine za kusaga nafaka huwa ni wapole?
Kwànini nyuki hapotei kwenye mzinha wake hata akienda mbali hapotei, je Wana gps?Mi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
Nyuki anakwenda kuchukua maji matamu ya maua (nectar) tunaita mbochi kwa kiswahili, anarudi kwenye sega (comb) ana regurgitate yale maji pamoja na ingredients zingine kutoka kwenye mwili wake. Hapo bado inakuwa haijawa Asali, kwa sababu ina maji mengi sana yaani nyepesi, so wakishajaza vyumba vyote hiyo nectar, wanapiga mbawa zao kwa wingi wao wana create upepo mkubwa ndani ya mzinga kiasi kwamba maji yana evaporate na kuifanya ile necta kuwa nzito zaidi, wanaendelea mpaka wakijiridhisha ipo tayari (yaani maji yawe less than 21 %) kwenye Asali ndio wanaifunga na kuihifadhi ambapo sisi tunaenda kuwa rob.Ni ingredients zipi nyuki anatumia kufanikisha kutengeza asali alafu etii ni kweli asali hata ikae miaka elfu moja haiharibiki? Kama ni kweli je ni kwanini.
Nyuki anakuwa mkali akiwa ana defend mzinga wake unapokuwa na watoto (brood) au Asali. Ukienda pale unapigwa.Kwanini nyuki wakiwa porini huko au kwenye mzinga wanakuwa wakali lakini akiwa maeneo ya karibu na binadamu mfano kwenye mashine za kusaga nafaka huwa ni wapole?