monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Nini tofauti ya nyuki wa mashineni na nyuki wakwenye mzinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapochukua Nectar wanapoitema kuna ingredients zingine zinatoka mwilini mwao, that's why we can not synthesize honey with similar composition kama natural honey, itaharibika mapema tu!Kama nyuki wanaweza kutengeneza asali locally, actually niku_Assemble. Maana nyuki hukusanya necta za maua mbalimbali.
Je sisi binaadamu na teknolojia yetu kuubwa tuliyonayo Je kwanini tusiweze kutengeneza asali yetu??kama vile vile nyuki wafanyavyo.
Kama jibu ni haiwezekan basi ningependa kujua Why?
Na kama jibu ni ndio tunaweza basi ningependa kujua How???
Duuh!Ni kweli, maana ile mshale wake (sting apparatus) imeungana na utumbo, so mkuki ukiingia kwenye mwili wako hauwezi kutoka bali yeye anafumuka nyuma utumbo unakatika. Atakufa tu. So please dont get stung by bees, utatumalizia nyuki wetu.
Nyuki anatengeneza Asali kukiwa na maua ya kutosha, sasa kwa kuwa kila nchi vegetation zake zina misimu ya miti kutoa maua ndio maana tunapata misimu ya uvunaji. Lkn kama maua yapo nyuki wanatengeneza Asali all year round. Mind you, pia kama maua ni mengi mno nyuki hawahifadhi Asali ya kutosha kwa kuwa wanajua hakutakuwa na ukame hivyo they can have food anytime. Ni disadvantage kwa mfugaji.Ni muda gani(season) ambao nyuki hutengeneza asali ie kiangazi/masika au ni muda wowote wao hutengeneza tu asali?
Asali ikitunzwa vizuri inakaa hata miaka 10 na bado inaweza kuliwa japo ubora kama harufu itapungua. For this reason, ndio maana tunasema honey does not expire. Ukiwa unapack asali never write expiry date, badala yake weka BEST BEFORE, three years after harvest. Baada ya miaka mitatu Asali inaanza kupunguza ubora hasa inapotunzwa vibayaNi ingredients zipi nyuki anatumia kufanikisha kutengeza asali alafu etii ni kweli asali hata ikae miaka elfu moja haiharibiki? Kama ni kweli je ni kwanini.
Ndio utupe Sasa hiyo elimuNyuki wanatumia direction ya jua kujua anapoishi, ila kuna elimu kubwa sana kwenye hili.
Ndio utupe Sasa hiyo elimuNyuki wanatumia direction ya jua kujua anapoishi, ila kuna elimu kubwa sana kwenye hili.
Okey asante.Nyuki anatengeneza Asali kukiwa na maua ya kutosha, sasa kwa kuwa kila nchi vegetation zake zina misimu ya miti kutoa maua ndio maana tunapata misimu ya uvunaji. Lkn kama maua yapo nyuki wanatengeneza Asali all year round. Mind you, pia kama maua ni mengi mno nyuki hawahifadhi Asali ya kutosha kwa kuwa wanajua hakutakuwa na ukame hivyo they can have food anytime. Ni disadvantage kwa mfugaji.
Ubora wa Asali hautegemei mabadiliko ya hali ya hewa, bali Asali inaweza kuharibika ubora kwa mishandling wakati wa kuvuna, kukamua, kuchuja au kupack. Tunaita adulteration.Je? Ubora wa Asali unategemeana na mabadiliko ya hali ya hewa?
Kwanini kuna asali mbichi na isiyo mbichi? Nini sababu za kuipika? Ipi ina ubora zaidi?
Ni nyuki jike au kibarua (worker) ndiye hatokani na fertilization. (Parthenogenesis).Okey asante.
Ningependa kujua mgawanyo wa kazi wa nyuki wanapokuwa kwenye makazi yao(mzinga).
Pia nilisikia nyuki dume hatokani na fertilization kati ya sperm na ovum hii imekaaje?
Asante...Ubora wa Asali hautegemei mabadiliko ya hali ya hewa, bali Asali inaweza kuharibika ubora kwa mishandling wakati wa kuvuna, kukamua, kuchuja au kupack. Tunaita adulteration.
Kuhusu neno Asali mbichi, hili ni neno la Lay people. Asali haipaswi kuchemshwa. Sasa kwa kuwa kuna watu (out of ignorance) wanachemsha Asali ili eti iwe nyepesi wapati nyingi ndio maana isiyochemshwa inaitwa mbichi. Lkn Asali inapaswa kuitwa "Asali asilia" ( Natural honey)
Ni kweli nyuki wanaweza kuua hata Tembo binadamu, ng'ombe n.k.Uko vizuri mtaalamu, kuna maneno mtaani tangu tukiwa wadogo kwamba nyuki wanaua hata ng'ombe, kwamba wana sumu? Na km wana sumu kwanini isiwepo kwenye asali?