Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,225
- 5,258
Kuna kampuni moja Iringa (Ruaha Natural Honey) wana mizingaHivi ni kampuni gani nzuri inayouza mizinga tayari ikiwa na nyuki , nina eneo la akali 3 nahitaji kufuga nyiki niunganishe na wauza mizinga
Asante mkuu ngoja nijipange nitawatafutaKuna kampuni moja Iringa (Ruaha Natural Honey) wana mizinga
Nitag # ya post ilipojibiwa!Havamii maswali inachosha swali limejibiwa halafu linaulizwa tena anza kusoma uzi toka mwanzo
Mkuu utajuaje kama hii asali nzuri? Huku mitaani wengi wao wanauza asali feki imejaa sukari guru
Mimi nina maswali mengi kuhusu hivi vitu lakini najua pamoja na kujisifu hapa na nia yako nzuri mambo mengi huyajui kuhusu nyuki na hutaweza kunijibu.Unayoyajua ni machache kuliko usiyoyajua.Afadhali umesema utajibu kadri ya uwezo wako hivyo nikiuliza na ukashindwa omba msaada kwa wengine.Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
Mpaka nimetamani kujua namna anavowaeleza wenzake.... Mungu ni waajabu sanaKwa kawaida nyuki wanapokuwa wanaishi mahali say kwenye pango au mzinga, wanazaliana, wanapokuwa wengi na nyumba kuanza kuonekana ndogo wanajigawa, lkn kabla ya kujigawa wanatengeneza Malkia mpya, then nusu wanaondoka, hiyo tunaita Swarming, ndio utakuta wametua kwenye baraza yako au kwenye mti. Then wachache wanatoka (wanaitwa scout bees) kwenda kutafuta nyumba. Sasa akija akakuta mzinga upo free anarudi kuwaeleza wenzake kuwa kuna nyumba mahali, then wote wanaingia. That's how it works
unaweza kupata asali mara ngapi kwa mwaka kwenye mizinga?Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
nahitaji nionane nawe unipe somo refu sana kwani nataka nianze kufuga asali mwezi wa saba pls nahitaji sana somo hili nimekufuatilia hapa nimeona huu mwalimu mzuriMimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
ila ni swali gumu zaidiKatika maswali yote wewe ndio umeuliza swali lenye akili zaidi
Siasa kidogo...Mpaka nimetamani kujua namna anavowaeleza wenzake.... Mungu ni waajabu sana
Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!
Napenda kujua nikiwa na mizinga 500 naweza kuiweka kwenye eneo la ukubwa gani?Mimi ni mtaalamu katika sekta ya ufugaji nyuki, kama kuna kitu unahitaji kujua kuhusu Nyuki na Asali niulize nitajibu kadri ya uelewa wangu. Karibuni. "Without bees man will have only 4 years to live on earth" Albert Einstein!