Niulize chochote kuhusu programming language

Mkuu ninaufatilia vzr na usikate tamaa dhidi ya wanaokukatisha tamaa
 
hivi kwanni watu wanazipa priority kubwa android app kuliko web based app?
 
Wangapi ambayo mko pamoja na huu uzi niendelee kushusha nondo
 
Swali unapotak kusom hiz kwa sisi bigginners unatakiw uzingatie unachotak kutengenez au unatakiw ufate required rank fulan ya kuzisom hzo language
 
Pia inakatisha tamaa mtu unatumia mda wako unaandika hapa alafu anakuja mtu ana kukebehi, kama wewe unaona ni kazi rahisi ungekuja uandike hapa au kama unajua sana why usinde na wewe google uje utufundishe hapa? Mnazingua.
Kaka kuna mda hao ata mm nawez nikaandik kitu kwakukosea ili nijue zaid maan kuna wataokuja kunicorect tumia kma adv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…