Niulize chochote kuhusu programming language

Niulize chochote kuhusu programming language

Mie nimejifunza mwenyewe, kupitia vitabu na YouTube tutorials, language ya Visual basic kutengeneza Window applications.
Japokua VB inabezwa na wengi lakini binafsi nimeamua nikomae nayo hivyo hivyo.
Je, siku nitakapoamua kuanza kujifunza C# programming language nitakuwa najifunza vitu vipya?
Inategemea unataka kuwa competent na kitu gani maana programming imegawanyika sehemu nyingi

1.web developer
2.mobile developer
3.game developer
4.machine learning

Na nyingine nyingii sasa wewe hapo inategmea
 
Unanipima mkuu alafu mm sipimiki brothers subiria darasa den uone najua au sijui
Sikupimi dogo ila hako kaswali nilikokutwanga kana mtego mdogo tu sema we mwenyewe umeamua kujaa

function greet() {
a = "indian"
}

Mkuu hii ingekuwa local variable kama ingeandikwa hivi
function greet() { let a = "indian" }
 
VARIABLE
variable ni kama kitambulisho cha kitu flani variable kwenye programming inatumika kama kitambulisho cha kitu sign

Variable kuna variable name, na variable namba
Mfano wa variable name
$user,$jamiiformu, $register etc kwa hyo kupitia variable ndo unaweza kuiita hyo varible na kuamua kufanya jambo flani.

Hebu tuchukulie huu mfano

$username ="juma";

Echo "username ";

Yaani hapo umeiita hiyo variable ya usersname

So output apo ni juma.
 
Sikupimi dogo ila hako kaswali nilikokutwanga kana mtego mdogo tu sema we mwwnyewe umeamua kujaa

function greet() {
a = "indian"
}

Mkuu hii ingekuwa local variable kama ingeandikwa hivi

function greet() {
let a = "indian"
}
Na global variable jee?
 
Na global variable jee?

Na global variable jee?
function greet() { a = "indian" }

Mkuu kwenye JavaScript kama variable haijawa declared kwa let au var hata kama iko ndani ya function hiyo inapoteza sifa ya kuwa local variable

Naomba pitia pitia mapdf yako halafu rudi ukubaliane na mimi kuwa hapa a ni global variable au tumuite Stefano Mtangoo akupige msasa
 
Inategemea unataka kuwa competent na kitu gani maana programming imegawanyika sehemu nyingi

1.web developer
2.mobile developer
3.game developer
4.machine learning

Na nyingine nyingii sasa wewe hapo inategmea
Hivi zile porno za cartoon wanatengeneza kwa language ipi. Nataka kujifunza
 
Wadau kwema
Niulize chochote kuhusu programming language
1.PHp
2 javascript
3.mysqli

Additional java.
Jquery na ajax.

Karibuni.

Updated:
Programming language ni kitu haswa? Wewe unaelewa nini kuhusu programming languages?

Kaa hapa hapa utajifunza mengi.

Programming languages ni lugha ya computer inayoamuru kumpyuta kufanya jambo flani ambalo mhusika anahitaji yaani unaweza kufanya kila kitu unachotaka kwenye programming language.

Kwa kifupi zaidi ni command language.

Programming language zipo nyingi saana ia nitataja chache ambazo wengi ndo tunatumia


Zifuatazo ni programming languages
1.PHP
2.JAVA
3.JAVASCRIPT
4.PYTHON
5.C
6.C#
7.SWIFT
8.RUBY
9.DART
10.KOTLIN
Special
Mysqli.

kwenye hii mada mimi nitaenda kuzungumzia
Baadhi ya programming language indeep
1.PHp
2.JAVA
3.JAVASCRIPT
4.MYSQLI

Itaendelea...

Teari tumeshafahamu maana ya programming language sasa tunaenda kuzungumzia vitu ambavyo tunapaswa kuvifahamu pale tunapojifunza lugha hizi kwa bahati nzuri sheria ni zile zile sema kwenye uandishi ndo kuna tofauti.

VITU VYA MUHIMU UNAPASWA KUFAHAMU UNAPOSOMA PROGRAMMING LANGUAGES.
Hizi ndo tunaziita concept.

1.VARIABLE
2 ARRAY
3.FUNCTION
4.IF ELSE STATEMENT
5.COMMENT
6.LOOP
7.DATE
8.MATH OPERATOR
9.LOGICAL OPERATOR
10.SWITCH

Zipo nyingi lakini ukiweza kuzi master hizi vizuri utaona programming languages ni rahisi saaana hii ndo concept zenyewe

Nitakuja kuelezea moja moja na mifano yake.
hivi hizi chatbot za automatic reply zinatengenezwa kwa language ipi
 
Wakuu nisaidieni kuelewa class method na static method jinsi ya kuzitumia, najifunza python.
 
Some people who commented in this thread have already proved to me that this person is not compentent enough to teach anybody programming....He also simply a bigginer on programming.
 
Back
Top Bottom