Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

NI WACHAWI SANA WADADA WA SIKONGE. HATA UKIKUTANA NAYE MKOA WA MBALI KAA NAYE MBALI. WANAJIFANYAGA WAPOLE ILA NI WANGA BALAA.

WANAKUPA LIMBWATA HALAFU FAMILIA YOTE INAHAMIA KWAKO KUANZIA MAMA MKWE HADI NDUGU WENGINE. NA HAWAONDOKI NG'O!
Mkuu acha kuongea uongo
 
Hakuna shida hapo, mbona hakuna mtu ambaye yupo hapa duniani ambaye hakuoa ndugu yake! Soma Biblia au Q’uruan ujue kuhusu Adam na Eva/ Hawa!
Sijasema ni shida nilichosema ndiyo utaratibu wao na pia dini yao inaruhusu
 
Mkuu siitaji ligi na wew.... itoshe kusema ni sehemu moja ya hovyo sana...Ni sehemu ambayo Ina ushirikina mwingi Sana.......

Mkuu Naomba usijisumbue tena kunijib KILA mtu achukue time zake pia endelea kuamini KUA sikonge ni eneo ndani ya mji wa TORONTO.
Huu uzi niuanzisha mimi wewe ndiye unayetakiwa uchukue time maana hujaitwa na itoshe kusema wewe ni mwanga ndiyo maana ukayajua hayo
 
Kimeo pale ni afisa utumishi, amekuja na upuuzi flani ati watumishi wa Sikonge wanakopa sana, ameweka urasimu usiona maana kukopa mpaka barua ipite kwa mkuu wa idara, na DED, ndio aingize makato na hashindi ofisini dah watumishi wamelalamika na benki lakini ndio kaamua labda mwalimu Seleman amwambie arekebishe mambo, watu wanakopa kwa shida sio kwa raha
Huyo bibi haeleweki na bado hajapewa ofisi / anakaimu
Kwa habari za watumishi siwezi kulewa kwa kuwa si mtumishi wa Hal mashauli
 
Hivi ule ujinga wa Mabasi kutoka Dar kwenda MPANDA yakifika Sikonge yanazuiwa kuendelea na safari bado upooo?
Hapana walikuwa wanazuia kipindi magari yanazuiwa kusafiri usiku kwa sasa yanaruhusiwa barabara ni rami saa 5 au saa 6 usiku upo Mpanda
 
Back
Top Bottom