Niulize chochote kuhusu Wilaya ya Sikonge Tabora

Matobolwa Nsansa makewe uyoga asali vitu hivyo katika soko la Sikonge havikosekani Vilindo vyungu vipo ila vilindo vimeanza kupungua.
Wale wadudu wanaopatikana kwenye miti iliyooza hivi vilikuwa vinapatikana zaidi Inyonga
Matini ilikuwa ni chakula cha akina mama zaidi
Nsansa, Matobolwa, makewe , uyoga, asali, kumbikumbi ,matini, nyama pori, mahama vilindo vyungu, wadudu wengine wanaoliwa kama wale wanaopatikana kwenye miti iliyooza na wale wenye mafuta mithili ya siafu lkn wana tank lenye mafuta

Vitu hivyo vipo?
 
Hiyo mlikuwa matishwa mlikuwa mnatokea wapi?
 
Pangale hapo kwa Sikonge ulikuwa bado kama km 40 hivi
Mi nilifika PANGALE nikajiokotea pisi kali mtoto mkali mmoja ana saloon hapo pangale, mama yusra popote ulipo nitarudi tena pangale UMENITEKA
 
Dah!!!! We jamaa ni shemeji yangu ...

Nimelala sana Pritoria.
 
Duh
 
Huko nasikia furniture za mninga ni bei nafuu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…