Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,627
Uje inbox, wewe wakukaya kabisa!Mlevi no mdogo wangu kabisa,
Mimi nimehama mwaka 1993,lakini hua naensa kila mala,hata wiki iliyopita nilikuwa USUNGA One.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uje inbox, wewe wakukaya kabisa!Mlevi no mdogo wangu kabisa,
Mimi nimehama mwaka 1993,lakini hua naensa kila mala,hata wiki iliyopita nilikuwa USUNGA One.
Wasukuma ni wengi sana kuliko hata wenyeji na wamejimilikisha mapori mengi sana kwa ajili ya ufugaji na kilimoJe, ni kweli kwamba idadi ya wasukuma huko sikonge ni wengi kuliko wanyamwezi?
nakuunga mkono bro nina shemeji yangu ali staafu alivyopata pesa zake tu akamuacha dada yangu na watoto akaenda kutanua mbali sana sipataji.Hela zilivoisha akafariki kwa msongo akiwa guest house ndo maana nina msongo sana na hawa watu jamaa shem kaniachia mzigo mkubwa mno wa kutunza wajombaha ha ha
Hako ka tabia ka kiarabu ka umwinyi mwinyi kapo Tabora mjini tu sababu Tabora ilikuwa center ya biashara ya watumwa na ndiyo maana kuna shombe wengi mno wa kiarabu hapo Tabora mjini.
Lakini ndani ya wilaya ya Sikonge hakuna tabia ya umwinyi. .
Wanaume wa kimyamwezi sifa ya mwanza Wakarimu, wanajua kupenda na hawawapigi wake zao.....ila tatizo lao kubwa wanatumia pesa vibaya wakishazipa ( vimwaga).
nakuunga mkono bro nina shemeji yangu ali staafu alivyopata pesa zake tu akamuacha dada yangu na watoto akaenda kutanua mbali sana sipataji.Hela zilivoisha akafariki kwa msongo akiwa guest house ndo maana nina msongo sana na hawa watu jamaa shem kaniachia mzigo mkubwa mno wa kutunza wajomba
NI WACHAWI SANA WADADA WA SIKONGE. HATA UKIKUTANA NAYE MKOA WA MBALI KAA NAYE MBALI. WANAJIFANYAGA WAPOLE ILA NI WANGA BALAA.
WANAKUPA LIMBWATA HALAFU FAMILIA YOTE INAHAMIA KWAKO KUANZIA MAMA MKWE HADI NDUGU WENGINE. NA HAWAONDOKI NG'O!
Nikitaka kufika kijiji cha IPEMBE iliyopo kata ya Kiloli nikitokea Dar, safari yangu itakuwaje? Nishuke wapi nipande wapi nilale wapi?
Nhana iduguye.Uje inbox, wewe wakukaya kabisa!
Ya wiza sana bhakokayaNhana iduguye.
Wanaume wa Tabora wengi ni lelemama niliwahi kuwa na mradi wa ujenzi sikonge na Usoke-Urambo ki ukweli wenyeji wa kiume ni dhaifu nilikuwa nafanya kazi na waha pamoja na wasukuma wenyeji walikuwa ni wanawake ndio kidogo hujituma kuliko wanawake.Hiyo siyo kweli wanaume wa Sikonge ni wachapa kazi ila ni wapole na wakarimu ina wastani wa watu 149.8 kwa mjibu wa sensa ya 2012
Haina ukongwe wowote ni wilaya ya juzi tuSikonge ni wilaya kongwe na masikini kupindukia
Ndiyo,Imepandishwa na kuwa wilaya mwaka 1996.Haina ukongwe wowote ni wilaya ya juzi tu
Kwipe namba zya simu.Ya wiza sana bhakokaya
Wanaume wa Tabora wengi ni lelemama niliwahi kuwa na mradi wa ujenzi sikonge na Usoke-Urambo ki ukweli wenyeji wa kiume ni dhaifu nilikuwa nafanya kazi na waha pamoja na wasukuma wenyeji walikuwa ni wanawake ndio kidogo hujituma kuliko wanawake.
Kwanini wanaume wengi wa huko ni ma Mwinyi?
Siyo kweli project zangu kila moja ilichukua siku 120Hukuwa na bahati ya kuwaona wanyamwezi ni wachapa kazi sana0
Wengi wanaofanya kazi ni Waha, Wahangaza na Wasukuma na wanawake wa kinyamwezi lakini wanaume ni kupendeza wavivu sanaNasema hivyo kwa sababu wanyamwezi kazi yao kubwa ni kilimo na zao la biashara ni Tumbaku ambalo ni zao gumu kushinda mazao yote biashara hapa Tanzania