Mathayo Christopher
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 413
- 289
Niulize chochote kuhusu zao la nyanya nitakujibu kama mkulima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo mavuno ni sahihi kama utaheshimu kanuni za kilimo kuanzia unapo sia mbegu kwenye kitalu, kupandikiza,uwekaji wa mbolea,upuliziaji wa fungicide + insectide, umwagiliaji na steming ya micheYale mavuno ya nyanya ambayo huwa yanaandikwa kwenye package ya mbegu ni kweli yanatokea? Mfano Asila F1 mavuno yake ni 50tonne/acre
Nahitaji kulima kilimo Cha umwagiliaji eneo la wazi unanishauri niandae kitaru mwezi gani ili nitoe nyanya kipindi ambacho soko linakua zuri?Karibuni kwa maswali japokuwa kitaaluma ni mwalimu ila miaka saba niliokaa kitaa na kujishughulisha na kilimo cha umwagiliaji hasa nyanya na mahindi kuna mengi nimejifunza nawakaribisha
Soko la nyanya huwa juu nyakati za masika na husababishwa na changamoto za ukungu hivyo mda sahihi wa kusia mbegu kwenye kitalu ni mwezi desember ili uvune mwezi march .Nahitaji kulima kilimo Cha umwagiliaji eneo la wazi unanishauri niandae kitaru mwezi gani ili nitoe nyanya kipindi ambacho soko linakua zuri?
So nilipanda mwezi wa kumi niitoe niitoe January nitakuwa nimecheza kete vizuri?soko la nyanya huwa juu nyakati za masika na husababishwa na changamoto za ukungu hivyo mda sahihi wa kusia mbegu kwenye kitalu ni mwezi desember ili uvune mwezi march .
karibu sanaAhsante mkuu kwa somo zuri.
Asante saana mkuuuKwanza tifua sehemu unayotaka weka kitalu kisha weka majani makavu na kuni ndogo sehemu uliotifua kisha choma .acha kitalu kipoe kwa siku mbili ,baada ya kitalu kupoa tengeneza vifereji vidogo vyenye kina cha sm 2 utakavyochora kwa kijiti chenye ukubwa wa penseli na tofauti ya mstari wa mfereji mmoja na mwingine ni sm 15 weka mbegu katika kila mstari kisha nyunyiza mchanga kidogo kufukia mbegu .weka matandazo na uanze kumwagia siku ya tatu baada ya kusia mbegu puliza sumu ya wadudu na siku ya sita utaondoa matandazo na kufunika neti siku ya saba utaweka DAP kwa ajili ya kukuza mimea michanga na siku ya nane puliza sumu ya ukungu na kuanzia hapo utapuliza sumu ya ukungu kila baada ya siku tano .mbegu ya nyanya huota ndani ya siku tano hivyo baada ya kuota siku ya saba puliza sumu yenye kiambata cha emmamectine benzoate au abamectine hii ni maalumu kwa kudhibiti kanitangaze pia miche ya nyanya kwenye kitalu utamwagilia katikati ya mstari na mstari kwa kuweka maji katika chupa ya maji na kunyunyiza kati ya mstari na usimwagie kwa juu
Nimezaliwa kijijini ambako tumelima Nyanya na majirani pia wakilima nyanya lakini Tangu nizaliwe sijawahi kuona Mzao/ mti wa nyanya ukitoa Mbegu. Hizo mnazopandikiza zinatoka wapi? Kwanini miti ile haitoi mbegu tukaziona shida ni nini?
Na mm nina swali kama hiliNimezaliwa kijijini ambako tumelima Nyanya na majirani pia wakilima nyanya lakini Tangu nizaliwe sijawahi kuona Mzao/ mti wa nyanya ukitoa Mbegu. Hizo mnazopandikiza zinatoka wapi? Kwanini miti ile haitoi mbegu tukaziona shida ni nini?
Asante ndugu Mwl Mkulima
Naomba unisaidie jina mbegu ya yanya chotara ambayo haiwi ndefu kwenda juu maxmum. MITA moja urefu na matunda yawe umbo kubwa na inayositahimili maji mengi nataka kupandia masika hii.
eden f1,1Naomba unisaidie jina mbegu ya yanya chotara ambayo haiwi ndefu kwenda juu maxmum. MITA moja urefu na matunda yawe umbo kubwa na inayositahimili maji mengi nataka kupandia masika hii.