Foxhunters
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 160
- 108
Nisaidie bei ya mbegu na ujazo na wapi naeza kuipata kwa mwanza,shinyanga,simiyu maeneo. Yangu kufika kwa haraka
eden f1,1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eden f1,1
Shukuranieden f1,1
Nyanya zangu zina miezi miwili tangu nimepandikiza shambani zimeanza kuiva. Ila nyingine zina baka jeusi chini hii ina sababishwa na nini?Karibuni kwa maswali japokuwa kitaaluma ni mwalimu ila miaka saba niliokaa kitaa na kujishughulisha na kilimo cha umwagiliaji hasa nyanya na mahindi kuna mengi nimejifunza nawakaribisha
Nyanya zangu zina miezi miwili tangu nimepandikiza shambani zimeanza kuiva. Ila nyingine zina baka jeusi chini hii ina sababishwa na nini? hujaweka mbolea ya CAN
Mbegu 3000+/-10%Asila Gram 10 ina wastani wa mbegu ngapi
Kuna upungufu wa madini ya calcium na ndiyo maana mtaalamu kushauri kutumia mbolea ya CAN; lakini pia inaweza kuwa madini ya calcium yapo na bado tatizo likawepo, hapo itakuwa ni maji kidogo, yaani mmea hauwezi kupata hiyo calcium bila maji ya kutosha, ndiyo maana mtaalam kaushauri utumie maji ya kutosha.Nyanya zangu zina miezi miwili tangu nimepandikiza shambani zimeanza kuiva. Ila nyingine zina baka jeusi chini hii ina sababishwa na nini?