Niulize chochote nitakujibu

Handsome kilaza coz utampa elimu ili ukilaza uishe maana hakuna akili ya binadam iliyokilaza moja kwa moja unless kichaa
Umeolewa au unae bf?.


Nangatukaa πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
1. Kwa nini wadada wengi wanaitaji kuolewa kuliko wanaume wanavyohitaji kuoa?

2. Effects zipi zinaweza kumpata mwanamke kama hata olewa anapofikisha umri wa kuolewa

3. Ukiondoa sex (https://jamii.app/JFUserGuide ) mwanamke anamchango gani mwingine kwa mwanaume ili amuoe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…