Niulize jambo lolote, kuhusu chochote nitakujibu na utanielewa..

Hapana...kwanini uneniuliza hivyo mkuu.

by emma mjasiriamali
yule aliekuuliza kuhusu mpenzi wake wa kwanza aliitwa nani jibu lako likawa "sky siyo jina lake halisi either angenipa details zake ningeweza kumjibu kwa ufasaha" na yule aliyeuliza kuhusu dem wake kuwa hapokei sim yuko wapi? ukamjibu "yuko kwenye gari sim aliiache kwenye mkoba" na jamaa akasema ni kweli hayo ndo majibu aliyojibiwa na manzi....mkuu au unajiuliza na kujijibu mwenyewe??
 
Hahahahhahahahah.... nisidanganye,kuna kitu kinaitwa common answer for common questions ndivyo ambavyo nimefanya mkuu...lakini sijafanya utabiri,labda imeendana na bahati though mara nyingi nikisema kitu huwa inakuwa hivyo,ilinifanya hadi nikagombana na mwanamke niliyezaa naye,aliona namfuatilia lakini kumbe mimi napata daught tu kichwani na najipa majibu ambayo yanakuwa ukweli...baadae anakir.

by emma mjasiriamali
 
Mtaji nini? Naomba unielezee kiundani zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa lugha isiyo ya mtihani au lugha ya kawaida....mtaji ni kile kianzio chako kinachopelekea wewe kufikia malengo au mahali fulani,mtaji unaweza kuwa wa biashara au hata wa maneno wakati mwingine,....na vitu vingine vingi mkuu.mfano "amefika hapa alipo kwa kuwa alikuwa na elimu"...kwahiyo mtaji hapo ni elimu....na mengine mengi.

by emma mjasiriamali
 
ooh wanajamvi tulianza kuwaza either mwenzetu robot anatumia nguvu ya ziada kufikiri.
 
ooh wanajamvi tulianza kuwaza either mwenzetu robot anatumia nguvu ya ziada kufikiri.
Mkuu mbona robot haliwez kupredict....
Hahahahhahah,ilikuwa bahati kwenye mambo ya kubashiri.

by emma mjasiriamali
 
Nimeziona mahali hzo ntazipakua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahah oky basi bashiri na Mimi hapa Niko wapi na nafanya nini...
Upo mahali ambako kuna kivuli,na umekaa maeneo hayo kwa muda mrefu kidogoo....nashindwa kujua ni kazin au nyumbani,ila umepigiwa simu kama mbili au zaidi ndani ya 20mins

by emma mjasiriamali
 
Self employment means you are working on your own,build everthing depending on your vision and mission
But beind enterprenuer means you are doing everthing for you,u may also employ people to work for u to fullfill your mission

by emma mjasiriamali
Hapa umetumia google, na ndiyo maana jibu lako halifuta kiu la swali, ulitakiwa kutoa maelezo kwa namna unavyojua, being an entrepreneuer you are already involved in self employ hakuna blah blah nyingi hapa
 
Hapa umetumia google, na ndiyo maana jibu lako halifuta kiu la swali, ulitakiwa kutoa maelezo kwa namna unavyojua, being an entrepreneuer you are already involved in self employ hakuna blah blah nyingi hapa
Halafu katika vitu ambavyo sijatumia google ndio hilo jambo mkuu

by emma mjasiriamali
 
Asante sana mkuu
Lkn sina mtaji natakanifanye biashara-na ramani ya biashara yangu IPO kichwani nifanye nini niweze pata mtaji wakuendesha biashara hiyo naomba jibu lako mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu
Lkn sina mtaji natakanifanye biashara-na ramani ya biashara yangu IPO kichwani nifanye nini niweze pata mtaji wakuendesha biashara hiyo naomba jibu lako mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu biashara bila mtaji angalau kidogo,ila kama hakuna nipm nikushauri kwa kuzingatia ramani zako

by emma mjasiriamali
 
Because the earth has plants,and Plants are green because they have chlorophyll in their leaves, which they use to absorb sunlight and create their own energy.

by emma mjasiriamali
Tatizo una google, we need to hear what you know.... Umejitishwa mzigo usio na uwezo kuubeba...... The good thing umethubutu but lete mawazo yako kwenye kila swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…