nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 526
- Thread starter
-
- #41
Wewe umeona simple,hebu jipe time ya kufikiria jibu nililokupa mkuu,labda let me explain in deep,unapokuwa unapenda kujua mambo unatamani kujua vitu vyote na unatumia nguvu zote kujaribu kuwa na uwezo huo...lakini bahati mbaya kuna baadhi ya mambo huwezi kuyajua kwa undani wake....sasa sio kila mtu anaweza kupata muda wa kufikiria vitu kiundani ndio maana kuna baadhi ya watu kitu cha kawaida kabisa hajui....najitolea mfano,ukiniuliza vitu vya electronics karibia vyote najua,dawa za magonjwa karibia zote nitakupa ushauri na utakusaidia,na vingine vingi...mahusiano ndio kabisaa na hata mambo ya kiroho kiasi kwamba ulipanga kufanya jambo baya ukajikuta unarudi nyumaMmmmmh
Mbona unajibu simple simple sana aisee, wewe unajua kila kitu kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
by emma mjasiriamali