nandembako
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 655
- 526
- Thread starter
- #61
Kama sijakosea zipo 205
by emma mjasiriamali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sijakosea zipo 205
Obrigado por sua apreciaçãoShukran kwe spelling ila hayo majibu uliyotoa ninayafahau na Portuguese yangu ni ya kuongea si ya kuandika hence wrong spelling, katika maongezi native speakers huwa nashindwa kutitofautisha jinsi wavyoyatumia.All in all 'muito obrigado' japo your answer was Google at its finest.Nakupa 100% Kwa utundu ulio nao na challenge uliyotoa,keep it up kwa kuwa ni njia ya kuendeleza ufahamu wa mambo mbalimbali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi sasa hakuna dalili ya nani atakuwa raisi,hata atakayetokea ataanza kuonekana mwaka wa nane wa madarakani wa magufuli,kwasasa wanashindwa kuonyesha interest wanahofia mkuu,ila atatoka chama tawala pia...na upinzani itapunguza wabunge bungeni kwa kiasi kikubwa kwa kusalitiana na unafiki itakaojitokeza...Muungano wa ukawa utabaki jinaBaada ya awamu zote mbili za magu kuisha rais atakuwa nani
Umewezaje kujua mambo mengi mpaka unasema tukuulize chochote unaweza kutujibu
Alikuwa kwenye gari,aliacha simu kwenye pochi
Luqnation....ni asalimia 65 ya walioachw awamu ya piliJe ipi ni idadi ya wanafunzi watakaopangiwa kidato cha tano awamu ya pili 2017
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu yangu ni diploma na nimebobea kwenye information technologyWewe elimu yako ni kiwango gani na umebobea kwenye fani ipi?
Ilikuwa ni sawa na bilions kwa sasaHivi vile vipande 30 vya fedha alivyo uzwa yuda na yesu =Na shilingi ngapi za Kitanzania?
Tafsiri please...JACK OF ALL TRADES MASTER OF NONE
Wewe umejuaje??Ilikuwa ni sawa na bilions kwa sasa
by emma mjasiriamali
Kwa nini unasema unajibu chochote?? kila kitu unajua wewe?Elimu yangu ni diploma na nimebobea kwenye information technology
by emma mjasiriamali