Niulize jambo lolote, kuhusu chochote nitakujibu na utanielewa..

Obrigado por sua apreciação

by emma mjasiriamali
 
Eti mkuu Kaini alimuoa nani huko alipokimbilia?
Je ni kweli kuna bikra 70 tutapewa mbinguni?
Mm naitwa nani?
Na mimi ni nani?
 
Baada ya awamu zote mbili za magu kuisha rais atakuwa nani
Hadi sasa hakuna dalili ya nani atakuwa raisi,hata atakayetokea ataanza kuonekana mwaka wa nane wa madarakani wa magufuli,kwasasa wanashindwa kuonyesha interest wanahofia mkuu,ila atatoka chama tawala pia...na upinzani itapunguza wabunge bungeni kwa kiasi kikubwa kwa kusalitiana na unafiki itakaojitokeza...Muungano wa ukawa utabaki jina

by emma mjasiriamali
 
Naomba ujibu hili swali..
2+2==4
Haya Joni anamatunda 12 treni inapita saaa 4 kamili, Calculate the mass of the sun!

NB. Swali halijakosewa na linaeleweka kwa mwenye kujua..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…