Sasa kwa nn ww umesema uulizwe chochote wakat hujui vyote??Sina uhakika na hiyo idadi ila naamini kuna watu wanaojua karibia kila kitu,ila sio vyote....kama wangekuwa wanajua vyote wangeweza kuumba binadamu wao...au wangetengeneza damu from the start,hili linamaanisha hakuna watu wanaojua kila kitu,ila tumejaariwa kujua mambo yanayotuzunguka na sio tusiyoyaona.
by emma mjasiriamali
Napata wapi kitabu "THE DARKSIDE OF NYERERE" Cha Ludovic Mwijage?Kama ambavyo nimeandika kwenye kichwa cha topic,nakaribisha maswali yeyote kuhusu chochote,nadhani naweza kuwa sehemu ya matatiZo au challenge zako,....furaha na amani yako.trust me i may be of big help to u
Kwa hesabu zipi kwanza..Ilikuwa ni sawa na bilions kwa sasa
by emma mjasiriamali
Mbona unakomoa watu mkuu??[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]9
A machine that cost £35,000 is operated 8 hours a day in a 5-day week but one hour each day is used for test purposes. For use of the machine there are three scales of charges, the first at the rate of £5 an hour for private use, the second at £15 an hour for research work and the third at £40 an hour for commercial work. It is estimated that the number of hours charged at the first, second and third rates are in ratios 4:2:1. What percentage of total receipts do receipts from commercial work represent?
Upo vzr kwa utabiri mkuu ndio nilivoambiwa hivo hivoAlikuwa kwenye gari,aliacha simu kwenye pochi
by emma mjasiriamali
DuhHivi vile vipande 30 vya fedha alivyo uzwa yuda na yesu =Na shilingi ngapi za Kitanzania?
Swali zuri....mengi ninayoyajua nimeyainisha kabisa kwenye OP kwenye ngazi hiyo means najua karibia kila kitu,nisichokijua nitasemaKwa nini unasema unajibu chochote?? kila kitu unajua wewe?
Nimeainisha maswali yanapotakiwa kulenga....soma original postSasa kwa nn ww umesema uulizwe chochote wakat hujui vyote??
Napata wapi kitabu "THE DARKSIDE OF NYERERE" Cha Ludovic Mwijage?
Tunazingatia zile hela zilifanyia nini kipindi kile na zingefanya nini kipindi hiki kwa kuzingatia kukua kwa thamani ya pesaKwa hesabu zipi kwanza..
Haya shusha hesabu zako tuone jinsi itakavyokua billions..Tunazingatia zile hela zilifanyia nini kipindi kile na zingefanya nini kipindi hiki kwa kuzingatia kukua kwa thamani ya pesa
by emma mjasiriamali
Kwa sehemu kubwa viwanja mjini vinauzwa ghari...ila haimaanishi sehemu ambazo sio mjini kote vinauzwa bei rahisi.....ila kwa kuzingatia uwiano ni sahihiEti ni kweli kuwa viwanja mjini vinauzwa bei ghali
Tunaangalia kwa kuchukua mfano wa wafanyabiashara haramu ya binadamu...lile lilikuwa ni jambo haramu,kwa kizingatia tu ubinadamu na usariti muuzaji lazima angetaja bei kubwa sana,achana na yeye alikuwa yesu hapo ndio ingeadd value zaid to billions dollar,means ungefanyika mnada mkubwa wa kumnunua na kumkomboa asinunuliweHaya shusha hesabu zako tuone jinsi itakavyokua billions..
Wimbo unamaana,ila vikorombwezo vingine ndio havina maana...anamwambia mwanamke anampenda,anamshawishi wapendane ili watu wengine wapunguze kuongea...wimbo una maanaInasemekana eneka haina maana yoyote Kama ilivyokua Kwa ngololo na bingili unasemaj, hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sema hujui vyoteSwali zuri....mengi ninayoyajua nimeyainisha kabisa kwenye OP kwenye ngazi hiyo means najua karibia kila kitu,nisichokijua nitasema
by emma mjasiriamali