Computer4Sale Niulize laptop gani unataka na kwa ajili ya matumizi yapi nikupe bei na ushauri

Computer4Sale Niulize laptop gani unataka na kwa ajili ya matumizi yapi nikupe bei na ushauri

Una laptop yenye CPU ya i7 12700h au amd Ryzen 7 6800h na ram ya 16gb, kama IPO bei ikoje
 
Nataka laptop kwa matumizi ya ofisi na kuchora ramani kwa program kama QGIS. Napenda iwe nyembamba, betri iandumu muda mrefu na speed ya radi. bajeti yangu milioni tatu
 
#Dell lattitude 7400
#Lenovo thinkpad yoga L13 gen 2
#HP Spectre generation 8-13
#Dell XPS 9310

Naomba bei.
 
Watu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali itakufanya uingie gharama kubwa ya ununuzi wake.

Pia kuna wengine wananunua laptop yenye uwezo mdogo ukilinganisha na matumizi yake hivyo kupelekea kazi yake kuwa slow na ufanisi wa kazi kuchelewa au kuwa mbaya kabisa.

Laptop ni kama bidhaa nyingine lakini katika ununuaji wake unahitaji uelewa wa hali ya juu sababu kuna changamoto watumiaji hukutana nazo na kwa kuwa hawajui chochote basi huona kama wamepigwa au kuuziwa mbuzi kwenye gunia.

NJOO TUPEANE USHAURI NI LAPTOP IPI ITAKUFAA KWENYE MATUMIZI YAKO NA VIGEZO GANI UVIZINGATIE UNAPONUNUA LAPTOP.

Unaweza kupiga simu 0787391033 au kunichek WhatsApp 0652565597

#TWENDE SOTE
#TEKNOLOJIANIYAKWETUSOTE
#2024

View attachment 2874501
View attachment 2874502
Laptop kwa ajili ya programming na graphics
 
Back
Top Bottom