Lambo jini
Senior Member
- Aug 28, 2018
- 198
- 235
Bei na n aina ganCore i5 au i7 ila hasa unatakiwa ram iwe kuanzia 8 , 12 au 16 ssd 512 iwe na graphics card dedicated 2gb Nvidia au radeon
Pia unazakuja dukan kwetu ukapata laptop yenye vigezo hivyo
WhatsApp 0652565597
Calls 0687391033
Bei na n aina gan
Ikiwa upgraded to HDD 2 or 1 Tb bei? Na hiyo ni new, used or refurbished?Kuna lenovo core i7 full speed processor 2.6ghz ram 12 Hdd 500gb bei Tsh 650,000
Bei inakuaje kwa Ram 16Core i5 au i7 ila hasa unatakiwa ram iwe kuanzia 8 , 12 au 16 ssd 512 iwe na graphics card dedicated 2gb Nvidia au radeon
Dell Xps 13 unazo , ni kiasi gani
Ikiwa upgraded to HDD 2 or 1 Tb bei? Na hiyo ni new, used or refurbished?
Bei inakuaje kwa Ram 16
Una laptop yenye CPU ya i7 12700h au amd Ryzen 7 6800h na ram ya 16gb, kama IPO bei ikoje
Una laptop yenye CPU ya i7 12700h au amd Ryzen 7 6800h na ram ya 16gb, kama IPO bei ikoje
Laptop Kwa Ajili ya graphics design na video editing
Iwe na specs zipi?
Bei zipoje ?
Lenovo
Hp
Dell
Kwani ni ngumu Sana kutaja bei hapa?Ipo mkuu nichek WhatsApp 0652565597
Kwa picha za sample za laptop Au piga simu 0687391033 uje dukan karibu sana mkuu
Laptop kwa ajili ya programming na graphicsWatu wengi wamekuwa wakinunua laptop bila kujua wanaenda kutumia kwenye matumizi gani au mwingine ananunua laptop yenye uwezo mkubwa sana kuliko matumizi yake. Sio mbaya kufanya hivyo bali itakufanya uingie gharama kubwa ya ununuzi wake.
Pia kuna wengine wananunua laptop yenye uwezo mdogo ukilinganisha na matumizi yake hivyo kupelekea kazi yake kuwa slow na ufanisi wa kazi kuchelewa au kuwa mbaya kabisa.
Laptop ni kama bidhaa nyingine lakini katika ununuaji wake unahitaji uelewa wa hali ya juu sababu kuna changamoto watumiaji hukutana nazo na kwa kuwa hawajui chochote basi huona kama wamepigwa au kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
NJOO TUPEANE USHAURI NI LAPTOP IPI ITAKUFAA KWENYE MATUMIZI YAKO NA VIGEZO GANI UVIZINGATIE UNAPONUNUA LAPTOP.
Unaweza kupiga simu 0787391033 au kunichek WhatsApp 0652565597
#TWENDE SOTE
#TEKNOLOJIANIYAKWETUSOTE
#2024
View attachment 2874501
View attachment 2874502
Kwani ni ngumu Sana kutaja bei hapa?
Laptop kwa ajili ya programming na graphics