jiwekuu770
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 2,246
- 1,645
- Thread starter
-
- #21
Ha ha ha atakua ....c nae n nacibuHIVI HUYU BAHATI NASIBU NAYE NI MTOTO WA DIAMOND PLATINUM
[emoji41][emoji41][emoji41]
Si wenyewe tumeikuta,...Naona nimekutana na thread ya wajinga leo
Angalabu sana kuwepo Na story ambayo itakua inaenda kinyume Na uhalisia....fisi kutokana Na tabia Yake ya dezo kutojituma kuwinda Na kutegemea masalia Na mifupa inafanya aonekane c mwerevu ktk kundi la wanyama!!...Sasa kwann sungura hadithi zile zilikuwa zinamfanya mjanja kuliko fisi?
Kwann zama zile hadithi zilikuwa 'uwongo njoo utamu kolea' na zilikuwa zinafurahisha na uongo unauona ukweli na zinasafiri bila kuandikwa na kuhadithiwa maeneo mengine kwa ladha ile ile?
Tofauti na sasa hadithi nyingi ni "porojo njoo Hamna kitu' na wala hadithi hizi hazisafiri na watoto kama wamekuwa bogus hivi kwann?
We ulikua unaangalia Picha !! Sawa Huyo ndie !! Sawa mwanamasubwiHahahaaa. Kwa kweli wanakusingizia tu maana hata picha yako inaonesha wewe sio mjinga, binadamu waongo sana.
hahahahaaaWe ulikua unaangalia Picha !! Sawa Huyo ndie !! Sawa mwanamasubwi
Kweli huu ni ujingaUJINGA NIPALE UNAPOWATENGANISHA KUKU WAKATI WAKITAKA KUPANDANA WAKATI CHIPS MAYAI UNAPENDA
Kwq kweli hili ni la kijinga!!kati ya samaki na chupi kipi kinavuliwa sana?
kati nyuki na mapenzi kipi kinauma?
Nahuu n ujinga wa siasa
Ujinga mwingine n kuchangia kwene uzi wakijingaUjinga ni kujisumbua kufungua hii thread.
Samaki na nyukikati ya samaki na chupi kipi kinavuliwa sana?
kati nyuki na mapenzi kipi kinauma?
Wewe Esau Nini hikiUJINGA NIPALE UNAPOWATENGANISHA KUKU WAKATI WAKITAKA KUPANDANA WAKATI CHIPS MAYAI UNAPENDA
Hazina idadi kwasababu haziishi....hamu ikikata unakua umepumzika tuHivi kwa mwanaume kukojoa mwisho bao ngapi?