NIULIZE LOLOTE KUHUSU "UJINGA"

NIULIZE LOLOTE KUHUSU "UJINGA"

Sasa kwann sungura hadithi zile zilikuwa zinamfanya mjanja kuliko fisi?

Kwann zama zile hadithi zilikuwa 'uwongo njoo utamu kolea' na zilikuwa zinafurahisha na uongo unauona ukweli na zinasafiri bila kuandikwa na kuhadithiwa maeneo mengine kwa ladha ile ile?

Tofauti na sasa hadithi nyingi ni "porojo njoo Hamna kitu' na wala hadithi hizi hazisafiri na watoto kama wamekuwa bogus hivi kwann?
Angalabu sana kuwepo Na story ambayo itakua inaenda kinyume Na uhalisia....fisi kutokana Na tabia Yake ya dezo kutojituma kuwinda Na kutegemea masalia Na mifupa inafanya aonekane c mwerevu ktk kundi la wanyama!!...
 
UJINGA NI PALE UNAPOACHANAA NA DEMU AFU KESHO YAKE ANASHINDA BIKO YA Milion 1OO
landscape-1452178785-mcx-lizwink-index.jpg
 
UJINGA NIPALE UNAPOWATENGANISHA KUKU WAKATI WAKITAKA KUPANDANA WAKATI CHIPS MAYAI UNAPENDA
 
Back
Top Bottom