Niulize swali ili nijipime kiakili (IQ Test)

Tumeona duniani kila kiumbe kina uwezo wake. Je mungu ana uwezo wa kutengeneza kiumbe chenye uwezo zaidi yake?
 
Tumeona duniani kila kiumbe kina uwezo wake. Je mungu ana uwezo wa kutengeneza kiumbe chenye uwezo zaidi yake?
yeye ni Alfa na Omega,anajua kila kitu, atatengeneza kitu gani kumzidi kwa sababu yeye tu hakuna anachoshindwa huyo unaemtaka amtengeneze atamzidi kwa lipi na atatengeneza kipi kumzidi yeye ajuaye kila kitu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…