Naamini nitampata lakini sina haraka wala nini,Ok, kwahiyo hujapata huyo mmoja ambaye mnaendana,ili uache kuchakata hovyo mapapuchi?, jitahidi umpate bana zeroo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeona duniani kila kiumbe kina uwezo wake. Je mungu ana uwezo wa kutengeneza kiumbe chenye uwezo zaidi yake?Ukubwa upi unaotaka kusemea wa Umbo au uwezo?
Kama umbo sina hakika ila ni kama ukubwa wa uwezo hakika Mungu ni mweza wa Yote hawezi pitwa na kile alichokitengeneza(Create )
Creator yeyote lazima aweze kudestroy, sasa hawezi shindwa na kitu ambacho anaweza kukidestroy
Sent using Jamii Forums mobile app
yeye ni Alfa na Omega,anajua kila kitu, atatengeneza kitu gani kumzidi kwa sababu yeye tu hakuna anachoshindwa huyo unaemtaka amtengeneze atamzidi kwa lipi na atatengeneza kipi kumzidi yeye ajuaye kila kitu?Tumeona duniani kila kiumbe kina uwezo wake. Je mungu ana uwezo wa kutengeneza kiumbe chenye uwezo zaidi yake?
Kwa mujibu wa maandiko siyo yeye tu pekee ndio alifufuka,
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Huenda bado anachakata till 2020Swali namba 59 mbn hujajibu?