Ningependa kufahamu kama katiba ya huko tunakoenda baada ya kifo kutokea kama inavitambua vyeti vya vifo duniani kama ni vya kuzaliwa huko na kama wana vitambulisho vya utaifa.
Wana JF, salamu sana. Mimi ni mtaalamu niliyebobea katika mambo ya vifo. Uliza chochote kuhusiana na kifo au vifo.