Niulize swali lolote kuhusu urembo

Niulize swali lolote kuhusu urembo

zuhoriflame

New Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Bidhaa za urembo wa uso na mwilini kwa wanawake na wanaume kuondoa chunus sugu, mafuta uson, madoa, mabaka mwilini, kuondoa makunyanzi usoni, kunuka miguu na fangas, perfume, lotion za mwilin, mascara za kurefusha kope, wanja, enjoface, Sabun za kuogea, shampoo za kuondoa mba, kukuza nywele na kujaza.

Tuwasliane #0659365734

Pia lotion za kulainisha na kutakatsha mwili bei nafuu
 
Ar vp maana kama swala la kutumiwa pesa kwa mtandao ni shiida watu hatujuani mi nishatapeliwa humu kwa mtu wa kuuza hizi mavitu mtandaoni
 
Bidhaa za urembo wa uso na mwilini kwa wanawake na wanaume kuondoa chunus sugu, mafuta uson, madoa, mabaka mwilini, kuondoa makunyanzi usoni, kunuka miguu na fangas, perfume, lotion za mwilin, mascara za kurefusha kope, wanja, enjoface, Sabun za kuogea, shampoo za kuondoa mba, kukuza nywele na kujaza.

Tuwasliane [HASHTAG]#0659365734[/HASHTAG]

Pia lotion za kulainisha na kutakatsha mwili bei nafuu
Tangu Vicent Kigosi (Ray) aueleze umma kwamba weupe wake ni matokeo ya unywaji maji mengi na kufanya mazoezi, tabu imekuja kwa house girl wetu kufakamia maji utadhani ametoka jangwani...siku hizi huyakuti maji jokofuni,kisa mdada wetu anataka awe "mdhungu"
Ushauri kwake tafadhali,nisimkatishe tamaa mtoto wa watu!
 
Mimi Nina tatizo LA mabaka usoni kwa muda mrefu sana nipo natumia Dawa kutoka kwa Daktari wa ngozi Muhimbili lakini bado sioni kama kuna nafuu...je hizo Dawa zenu zinasaidia?
 
Back
Top Bottom