Niulize swali lolote nitakujibu

Je, uwepo wa shetani ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?
Definition ya mungu ni muweza kwa kila kitu na shetani na binaadamu amewaumba yeye,mungu amewapa hiari kati ya binaadamu na majini wafanye watakalo hivyo wakifanya vibaya watapta adhabu na wakifanya wema watapata mapenzi ya mungu,hivyo shetani si kufeli kwa mungu ila ni mtihani kwetu sisi wana damu.
Na mungu anajua zaidi
 
Kuhusu rangi ya mbingu ni maumbile na hizo ni dalili za kuwepo mungu na kuhusu vipi space inaelea ni kwasababu ya ozone layer, ni layer special ya anga ambayo ipo baina ya sayari
Nadhani inahitaji maelezo ya kisayansi zaidi..Ukisema Mungu ndiyo tutasema basi kila kitu kilivyo ni uwezo wa Mungu..sijakataa, ila sayansi inasemaje?
 
kwa mtazamo wako nani anahusika na utekaji wa Roma?
 
Nipe tofauti kati ya Paul Makonda na Albert Bashite...
 
Nashukuru kwa kunithibitishia kuwa mungu sio muweza wa yote
 
Nadhani inahitaji maelezo ya kisayansi zaidi..Ukisema Mungu ndiyo tutasema basi kila kitu kilivyo ni uwezo wa Mungu..sijakataa, ila sayansi inasemaje?
Unajuwa suali lako linahitaji maelezo marefu na post hiyo nitaipost katika mtandao wangu mpya www.telona.cf
fwatilia huo utapata ufumbuzi wa hilo mungu akiniwezesha
 
sijui umekurupuka kutoka koromije wewe aagrrh!
MTOA UZI KASEMA ATAJIBU KUANZIA SAA MBILI

Harmorapa vipi lakini??
Aaaaahahahahahaahahahha..... Mbavu zangu ulivomnanga uyo..... Me amenichekesha sijui hajasoma kilichoandikwa??
 
Nahitaji kuwa mtu mwenye kipato kikubwa nifanyeje? Sijafikia umri wa miaka 40.
 
kwahiyo wewe ni mzungu, au wakiristo wote wazungu, na maria alikua mwarabu
Kama ni hivyo wakiristo wengi hawafuati kitabu chao maana bibilia hata kulewa imekataza lakini wao hawalewi hawakunywi pombe.Hivyo sometimes kitu kinaweza kuwa kweli na watu wa kakipinga wasikifuate , lakini ukweli utabakia hivyo mama maria alikuwa akivaa mtandio,sasa watakuwa wanafanya kwa matashi yao na wanaacha amri ya mungu
 
Ni fursa zipi zilizopo nchini ambazo vijana wanaweza kuzitumia na kujikwamua kiuchumi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…