Niulize swali lolote nitakujibu

Niulize swali lolote nitakujibu

Nataka kufahamu kama watu wote duniani tutaambiwa tunywe maji yote hadi yaishe kila mtu atatakiwa kunywa lita ngapi?


Na vipi hadi sasa Dunia ina lita ngapi za maji chini na juu ya Ardhi?

Unadhani ni nini kinamfanya mtoto kunyonya maziwa ya mama yake ile hali hajui lolotr kuhusu kula?.

Aliyebuni Namba alijuaje kama Mwanzo wa namba ni 0 hadi 9 na kuna makosa kama tukigeuza 9 kuwa 3?

Mara nyingi nikiwa Safari huwa napenda kusikiliza wimbo wa Bamboo kademu ka Mzinga ni kwanini?

Chakula kinakula nini?

Ukifa ukakuta mshikaji wako hayupo msibani utachukua maamuzi gani?

Aliyejua kuwa wali unafaa kuliwa na Maharage ni nani na alitumia muda gani kukamilisha utafiti wake?

Kule Marekani kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa Hatezan Finnte kwanini alikuwa Mmarekani ile hali hakutaka aishe huko Marekani?

Simu yangu ina Mpasuko kwenye kioo ni nani aliipasua maana kila mtu anasema sio yeye(bora leo utanipa majibu).

Nimelipa kodi ya Nyumba mwezi huu ila mwenye Nyumba kasema sijalipa na risti ninazo unahisi kwanini ?

Kwanini Binadamu hawezi kusahau kuvuta hewa hata ukiwa busy namna gani.?
aseee! mkuu ajipange upya kwa maswali haya
 
Asee wewe noma naomba unitag ili tupate majibu yake
 
Nataka kufahamu kama watu wote duniani tutaambiwa tunywe maji yote hadi yaishe kila mtu atatakiwa kunywa lita ngapi?


Na vipi hadi sasa Dunia ina lita ngapi za maji chini na juu ya Ardhi?

Unadhani ni nini kinamfanya mtoto kunyonya maziwa ya mama yake ile hali hajui lolotr kuhusu kula?.

Aliyebuni Namba alijuaje kama Mwanzo wa namba ni 0 hadi 9 na kuna makosa kama tukigeuza 9 kuwa 3?

Mara nyingi nikiwa Safari huwa napenda kusikiliza wimbo wa Bamboo kademu ka Mzinga ni kwanini?

Chakula kinakula nini?

Ukifa ukakuta mshikaji wako hayupo msibani utachukua maamuzi gani?

Aliyejua kuwa wali unafaa kuliwa na Maharage ni nani na alitumia muda gani kukamilisha utafiti wake?

Kule Marekani kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa Hatezan Finnte kwanini alikuwa Mmarekani ile hali hakutaka aishe huko Marekani?

Simu yangu ina Mpasuko kwenye kioo ni nani aliipasua maana kila mtu anasema sio yeye(bora leo utanipa majibu).

Nimelipa kodi ya Nyumba mwezi huu ila mwenye Nyumba kasema sijalipa na risti ninazo unahisi kwanini ?

Kwanini Binadamu hawezi kusahau kuvuta hewa hata ukiwa busy namna gani.?
Asee wewe noma!! naomba unitag ili tupate majibu yake
 
nikivipi sauti inaisha kwenye space/nafasi..?
je inawezekanaje kuibadilisha sauti kuwa umeme..?
nikivipi atom zinajiunda kuform hivi vitu chuma,plastic,nyama na mchanga..?
 
Nimepitia comments nasuburi. Majibu ili kicheko kikamilike...
Maana, unaweza vunja mbavu zako kwa manene haya
 
Nataka kufahamu kama watu wote duniani tutaambiwa tunywe maji yote hadi yaishe kila mtu atatakiwa kunywa lita ngapi?


Na vipi hadi sasa Dunia ina lita ngapi za maji chini na juu ya Ardhi?

Unadhani ni nini kinamfanya mtoto kunyonya maziwa ya mama yake ile hali hajui lolotr kuhusu kula?.

Aliyebuni Namba alijuaje kama Mwanzo wa namba ni 0 hadi 9 na kuna makosa kama tukigeuza 9 kuwa 3?

Mara nyingi nikiwa Safari huwa napenda kusikiliza wimbo wa Bamboo kademu ka Mzinga ni kwanini?

Chakula kinakula nini?

Ukifa ukakuta mshikaji wako hayupo msibani utachukua maamuzi gani?

Aliyejua kuwa wali unafaa kuliwa na Maharage ni nani na alitumia muda gani kukamilisha utafiti wake?

Kule Marekani kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa Hatezan Finnte kwanini alikuwa Mmarekani ile hali hakutaka aishe huko Marekani?

Simu yangu ina Mpasuko kwenye kioo ni nani aliipasua maana kila mtu anasema sio yeye(bora leo utanipa majibu).

Nimelipa kodi ya Nyumba mwezi huu ila mwenye Nyumba kasema sijalipa na risti ninazo unahisi kwanini ?

Kwanini Binadamu hawezi kusahau kuvuta hewa hata ukiwa busy namna gani.?
Wewe jamaa kama sio kiboko ni mamba.
Akikujibu hayo maswali niite
 
Nataka kufahamu kama watu wote duniani tutaambiwa tunywe maji yote hadi yaishe kila mtu atatakiwa kunywa lita ngapi?


Na vipi hadi sasa Dunia ina lita ngapi za maji chini na juu ya Ardhi?

Unadhani ni nini kinamfanya mtoto kunyonya maziwa ya mama yake ile hali hajui lolotr kuhusu kula?.

Aliyebuni Namba alijuaje kama Mwanzo wa namba ni 0 hadi 9 na kuna makosa kama tukigeuza 9 kuwa 3?

Mara nyingi nikiwa Safari huwa napenda kusikiliza wimbo wa Bamboo kademu ka Mzinga ni kwanini?

Chakula kinakula nini?

Ukifa ukakuta mshikaji wako hayupo msibani utachukua maamuzi gani?

Aliyejua kuwa wali unafaa kuliwa na Maharage ni nani na alitumia muda gani kukamilisha utafiti wake?

Kule Marekani kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa Hatezan Finnte kwanini alikuwa Mmarekani ile hali hakutaka aishe huko Marekani?

Simu yangu ina Mpasuko kwenye kioo ni nani aliipasua maana kila mtu anasema sio yeye(bora leo utanipa majibu).

Nimelipa kodi ya Nyumba mwezi huu ila mwenye Nyumba kasema sijalipa na risti ninazo unahisi kwanini ?

Kwanini Binadamu hawezi kusahau kuvuta hewa hata ukiwa busy namna gani.?
Khaa so mchezo
 
Kwa nini CHADEMA kimesheni ukabila{ uchagalisms} na Ukanda/Ukazikazini?
 
Jana usiku kuna mtu nilimfananisha, nijibu nilimfananisha na nani

Roma alitekwa na nani?

Kwa nini mirungi hapa hairuhusiwi lakini Kenya ni ruksa?
 
Back
Top Bottom