Haya maswali umeruka?Nataka kufahamu kama watu wote duniani tutaambiwa tunywe maji yote hadi yaishe kila mtu atatakiwa kunywa lita ngapi?
Na vipi hadi sasa Dunia ina lita ngapi za maji chini na juu ya Ardhi?
Unadhani ni nini kinamfanya mtoto kunyonya maziwa ya mama yake ile hali hajui lolotr kuhusu kula?.
Aliyebuni Namba alijuaje kama Mwanzo wa namba ni 0 hadi 9 na kuna makosa kama tukigeuza 9 kuwa 3?
Mara nyingi nikiwa Safari huwa napenda kusikiliza wimbo wa Bamboo kademu ka Mzinga ni kwanini?
Chakula kinakula nini?
Ukifa ukakuta mshikaji wako hayupo msibani utachukua maamuzi gani?
Aliyejua kuwa wali unafaa kuliwa na Maharage ni nani na alitumia muda gani kukamilisha utafiti wake?
Kule Marekani kuna Rafiki yangu mmoja anaitwa Hatezan Finnte kwanini alikuwa Mmarekani ile hali hakutaka aishe huko Marekani?
Simu yangu ina Mpasuko kwenye kioo ni nani aliipasua maana kila mtu anasema sio yeye(bora leo utanipa majibu).
Nimelipa kodi ya Nyumba mwezi huu ila mwenye Nyumba kasema sijalipa na risti ninazo unahisi kwanini ?
Kwanini Binadamu hawezi kusahau kuvuta hewa hata ukiwa busy namna gani.?
In the name of Allah.Haya maswali umeruka?
Haya siyo maswali nafikiri zitakua challenge kwa hii thread[emoji41]Wadau natumaini mnaendea na harakati za maisha kama kawaida.
Wanasema binadamu tunajifunza kila siku, nakubali bila ya kinyongo. Kwani ni Jambo Jema kwa binadamu kujifunza, tunapunguza ujinga na kuongeza maarifa.
Mdau kaja na wazo zuri mimelipenda, Ila nina wasiwasi kuna vitu vitamshinda kwani hakuna anayejua kila kitu humu duniani.
Unaposema "uliza chochote nitakujibu" bila Shaka unamaanisha una majibu ya kila kitu!
Hatutegemei utupe Majibu yatakayotuachia maswali au yasio jitosheleza. Vinginevyo una lengo la kuwapotezea watu muda.
baadhi ya watu wameanza kuuliza maswali ya kukujaribu au yasiyo na maana! Hii inaonyesha Wazo lako ni zuri Ila lina utata.
NAFIKIRI INGEKUWA VIZURI KAMA UNGESEMA TUKUULIZE SWALI LOLOTE KWENYE KITU ULICHOBOBEA.
Maswali ya kizushi:
1. Hivi baharini kuna samaki wengi kiasi gani?
2. Tumeambiwa yesu atarudi siku za mwisho, je ni siku na tarehe gani?
3. Maandiko mengi yanamrifaa mungu kama mwanaume! Je inawezekana akawa ni mwanamke? Nani alimuona?
4. Je wewe utakufa siku na tarehe gani?
5. Hivi karibuni kumekuwa na mfululizo wa matukio ya uvamizi na watu kutekwa, huko isti afrika! Je ni nani anafanya hayo mambo?
Asante.
Mengine hujamalizia ya huyo jamaa hebu mjibu kwanzaIn the name of Allah.
1.Wanasayansi wanakisia ya kwamba maji ni mengi kuliko ardhi kwa 75%, sasa kama tutaconvert 75% kwenda kwenye litres tutapa litres = 1,260,000,000,000,000,000,000 liters.
2.Kinachomfanya mtoto anywe maziwa ya mama yake kwasababu aliyemleta huyo mtoto duniani ameshatowa amri katika pati ya ubongo wake ya frontal lobes kwamba wewe ukifika duniani tu , anza kunyonya maziwa ya mama ako.
3.Kwasababu binaadamu wa kwanza kuumbwa ni Adam naye ndiye aliyefundishwa na kutoka 0 hadi 9 na muumba wake .
UJUZI WA HAYA HASWA UPO KWA MUNGU
2.
Niambie hesabu ya nywele zako zipo ngapi?View attachment 493678
Leo ikiwa ni mara yetu ya kwanza kuanzisha thread hii kwenu.
Kama una tatizo lolote likusumbualo tuma swali lake tutakujibu
MAJIBU YATAANZA SAA 2:00 USIKU
Ww Jamaa mchokozi kinyamanikumbushe root za branchio plexus
Suali hili halipo katika ujunzi wangu ni wake yeye munguMimi nimezaliwa mtoto wa ngapi katika familia yetu?
Sitosema uongo katu,hesabu ya nywele zangu ipo kwake muumbaNiambie hesabu ya nywele zako zipo ngapi?
Ni sawa na kifo hakuna anaejua keshoKesho yangu itakuwaje???
In the name of Allah.Haya maswali umeruka?
Nadhani una nia njema kabisa ya kujifunza na kufunza wengine kwa huu uzi uliouanzisha,Suali hili halipo katika ujunzi wangu ni wake yeye mungu
Haya siyo maswali nafikiri zitakua challenge kwa hii thread[emoji41]
Unaweza kuthibitisha?Hapana utofauti hapo Albert Bashite ndio jina la kuzaliwa na Paul Makonda
Bother ndio nini?Ahsante bother.
Ufahamu wangu wa kiswahili ni mdogo