Niunganishe na kazi ya umeme upate kamisheni ya asilimia 30

kipipili

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2009
Posts
1,587
Reaction score
186
Ndugu wadau,
Kwa yeyote mwenye connection ya kazi ya umeme ya size ya chini na ya Kati, iwe ya nyumba au kiwandani, akiweza kuni connect nitakupitia 30 percent ya value ya kazi ukitoa materials. Kazi yote nitaifanya kwa ufanisi mkubwa. Kumbuka na risiti ya EFD inatolewa inapohitajika. Please contact +255715050539
 
Uandishi mbovu sana. Unashindwa nini kuandika kwa ufasaha?
'kaxi' ndio mdudu gani?
 
nipo dar es salaam mkuu. Manyara siyo mbali. Imagine wachina wanatoka China wanakuja Tanzania
Mkuu inaonekana huna akili za kujiongeza...jamaa kuna vitu kakwambia uongeze kwenye post yako but katumia indirect way ili ujiongeze mwenyewe...hapo alitaka uongezee kwenye post yako kuwa unapatikana mkoa gani...kuna mwingine huko juu kakwambia sjui umefundishwa ufundi na mjomba wako...huyo alitaka useme umesomea wapi huo ufundi/elimu yako ikiwezekana na kazi ulizowahi kufanya/work experience
 
Nawashukuru wale wanaonipigia simu. Nawakaribisha nanyi wengine. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…