Mbn bado ni hivyo hivyo..labda urudie kusoma
Uandishi mbovu sana. Unashindwa nini kuandika kwa ufasaha?Ndugu wadau,
Kwa yeyote mwenye connection ya kaxi ya umeme ya size ya chini na ya Kati, iwe ya nyumba au kiwandani, akiweza kuni connect nitakupitia 30 perci ya valuy ya kazi ukitoa materials. Kazi yote nitsifsnya kwa ufsnisi mkubwa. Kumbuka na risiti ya efd inatolewa inapohitajika. Please contact 0715050539
Nimekusoma.ni makosa yanayojitokeza kwenye matumizi ya simu bila kudhamiria
Sasa wewe uko huko mtwara, utakujaje huku mtakuja mererani mkoani manyaranime edit tayari. Changamoto ya smartphone tu
acha maswali mengi mkuu we toa kazi usafiri juu yakeSasa wewe uko huko mtwara, utakujaje huku mtakuja mererani mkoani manyara
Sio inapohitajika, ni jukumu lako kutoa risiti ya efd hata kama mteja hajakuombaKumbuka na risiti ya efd inatolewa inapohitajika. Please contact 0715050539
ntakustua mkuu kwa sasa sina kazi ntauliza kwa wadauAsante mkuu. Nawe unakaribishwa
Shida tangazo halikamiliki mkuuacha maswali mengi mkuu we toa kazi usafiri juu yake
Mkuu inaonekana huna akili za kujiongeza...jamaa kuna vitu kakwambia uongeze kwenye post yako but katumia indirect way ili ujiongeze mwenyewe...hapo alitaka uongezee kwenye post yako kuwa unapatikana mkoa gani...kuna mwingine huko juu kakwambia sjui umefundishwa ufundi na mjomba wako...huyo alitaka useme umesomea wapi huo ufundi/elimu yako ikiwezekana na kazi ulizowahi kufanya/work experiencenipo dar es salaam mkuu. Manyara siyo mbali. Imagine wachina wanatoka China wanakuja Tanzania
Yan upitie MEMKWA uje uweke umeme kwenye nyumba za watu?nipo dar es salaam mkuu. Manyara siyo mbali. Imagine wachina wanatoka China wanakuja Tanzania