Nivae nguo za aina gani ili nipendeze kutokana na mwili wangu?

Nivae nguo za aina gani ili nipendeze kutokana na mwili wangu?

nadhan ungeanza kwanza kusaka pesa !hayo ya viwalo yanakujaga automatic !unataka kupendza huku kwenye wallet kuna vitambulisho lukuki !lol
 
Mimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher


Angalia anachovaa Idris na Emmanuel Mbasha na January Makamba
 
We nahisi kale katabia kameanza kukunyemeleaa anyway pamban tu mana xna msaadaa na wewe
 
Mhhh! Mie napita wakuu [emoji473][emoji473][emoji473][emoji473]
 
Wanaume tupo tofauti sana. Mwingine anatamanj avae nguo apate attention. Mwingine hataki attention kwa maana hiyo anavaa hata bila kunyoosha pasi. Aisee
 
Mimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
Nguo yoyote inavaliwa kulingana na mazingira husika.
 
Back
Top Bottom