Ayaaa, demi..Kaptura kama bashite
hahahahaha jaman mbavu zangu mie !dah we hornet wewe !unajijua mwenyewe kwakweliVaa madela na vijora
Mimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
Heri yakoMhhh! Mie napita wakuu [emoji473][emoji473][emoji473][emoji473]
Nguo yoyote inavaliwa kulingana na mazingira husika.Mimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
Maswali mengine yanachosha bwana.hahahahaha jaman mbavu zangu mie !dah we hornet wewe !unajijua mwenyewe kwakweli