Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Weka picha yako basi mashalaaMimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
Tuwekee picha yako tukuoneMimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
Hilo tumbo kama pipa la chimpumuMimi nimetoka chicha hapa?
View attachment 1880484
Huwa nakula upande mmoja mzima wa kitimoto kama lunch.Hilo tumbo kama pipa la chimpumu
Pendelea kuvaa shuka za kaniki na hirizi nyekundu kubwa kubwa, aisee utazivuta hela, mademu na utajiri piaMimi ni mrefu,handsome,nina asili ya ushombe flani hivi,mweupe ila sio body builder nivaage nguo gani niwe much attractive comment yoyote ile ambayo mtu mwenye sifa hizo hua anapendeza sana akivaa (ladies first) callmize phlosopher
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukivaa kama alivyokuwa amevaa Hamza utapendeza mkuu, halafu weka na SMG kifuani, pita barabarani ukiona polisi muulize kama umependeaza!!
Sidhani kama jf kuna wadada cheap avutiwe na huu uzi.kwa lipi la ajabu?Duu jamaa anatafta mademu Jf maana anajua watashoboka na vigezo vyake