Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
You're truly see the true color of people when you're no longer beneficial to them..Akafututa namba yangu nikimpigia anauliza wewe nani,umekosea namba,hadi sauti yangu akaisahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're truly see the true color of people when you're no longer beneficial to them..Akafututa namba yangu nikimpigia anauliza wewe nani,umekosea namba,hadi sauti yangu akaisahau
Sana yani hata zuena wa diamond anakuwa mkali.Nashangaaa nasaivi ni wa kawaida sana [emoji81]
Binafsi huwa napenda hata Kama Ni mshkaji anikubali Mie Kama mie na sio pesa ,cheo ama mali ivyo vitu kesho naweza nikaamka sinavyoUnaweza kuhisi kuwa unapendwa kumbe wapi
Binadamu sio watu wa zuri hata maofisin ni hivyo,kuna boss wa polisi baada ya kustaafu alipata sonona ,akakumbuka kuwa kumbe zile saluti alikuwa hapigiwi yeye bali cheo chakeBinafsi huwa napenda hata Kama Ni mshkaji anikubali Mie Kama mie na sio pesa ,cheo ama mali ivyo vitu kesho naweza nikaamka sinavyo
Nikuambie uelewe tu binadamu hatuna tofauti na wanyama. Yaani cheki wanyama wanavyoishi sie ndivyo tuko ivyo. Mfano dini imekuja kutuambia tusifanye Mambo ambayo Ni asili yetu ya kinyama. Umeshawahi ona wapi wanyama wanapendana wapi wanapeana chakula cheki kuku,mbwa,chui n.kBinadamu sio watu wa zuri hata maofisin ni hivyo,kuna boss wa polisi baada ya kustaafu alipata sonona ,akakumbuka kuwa kumbe zile saluti alikuwa hapigiwi yeye bali cheo chake
Sijamtaja ishu sio kula mbunye bali kufutiwanamba yangu
Acha umamaMen don't kiss and tell.
Mbona kwenye kimasihala mmehadisia acha kujifanyaMwanaume unakula mbunye halafu unakuja simulia mbele za watu...haiko poa
Mbona kwenye kimasihala umeanikaSasa kakwambia umuanike humu.
Nafikiri sijawahi kukoment huo uzi.Mbona kwenye kimasihala umeanika
akagoma kulala mwenyewe? hownikamuonyesha chumba chake kikiwa na godoro tu,nikalala na dogo kwenye room nyingine,kesho yake akagoma kulala mwenyewe nikamchakata usiku kucha nikarudi kituo changu cha kazi,
Mbona kwenye kimasihala mmehadisia acha kujifanya
HahaSana yani hata zuena wa diamond anakuwa mkali.
Ohoo, kimeumana😃Kama ni kweli bhasi umetwist story mkuu ila huyo mrembo hakuja hapo ofisini bahati mbaya. Alikuwa akifanya hapo kazi na kwa sababu wewe ulikuwa senior, ikawa rahisi kujimegea ila aposhinda umiss, ukawa sio level zake
Inshort huyo miss kasoma school moja na bro wangu na yoyote anaemjua, akipitia story atamfahamu