Niwaambieni mapema tu nikija kuwa Rais wa Tanzania kwa Tiketi ya Mgombea Binafsi Daraja la 'Tanzanite' nitaamuru libomolewe haraka

Wanaofikiri 'kimkakati na kiulinzi' wanakushangaa kwa kuliponda daraja hilo kwa hoja muflisi na za kisimbilisi.

Kiulinzi na usalama lazima kulihitajika kuwe na njia mbadala za kuunganisha jiji na vitongoji vyake, ili ikitokea, mathalani, daraja la selander 'likahujumiwa', kuwe na njia mbadala ya kuwezesha watu kusafiri kwenda na kutoka jijini kama kawaida.
 
Madaraja hayajengwi kwa ulinzi tu, hoja hapa ni position yake pamoja na traffic conveyance efficaccy.
Soma post yangu no.13.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…