Niwafanye nini viumbe hawa wameharibu suti yangu

Niwafanye nini viumbe hawa wameharibu suti yangu

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Hawa viumbe wanaifanya wikend nione chungu wameharibu suti nilitaka kuivaa kesho kwa mzee wa upako, niwape adhabu gani maana bado wapo hai!

IMG_20221029_082727.jpg
 
Hawa viumbe wanaifanya wikend nione chungu wameharibu suti nilitaka kuivaa kesho kwa mzee wa upako,niwape adhabu gani maana bado wapo hai..!!!!???
View attachment 2401277
adhabu nzuri kwao ni kuwaonyesha alipo rafiki yao kwa week nzima, usiwaue. Jumatatu unawapeleka wanamwona, mpaka siku saba zipite. Kisha waachie huru.
 
Hahaaa kuna siku moja walitoboa dumu la mafuta lita tano yaan asubuhi tunaamka mafuta yameisha yote chini tukaanza msako tulipo wakamata walikua wamezilai tu tukawafunga na waya kwenye mkia ili wasikimbie wakipata faham....tulichukua bomba la sindano tukachemsha maji tukawa tunawapiga sindano za maji ya motooo maana walifanya uharibifu mkubwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi ulisha wahi ona machozi ya panya sasa mm niliyaona [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Hahaaa kuna siku moja walitoboa dumu la mafuta lita tano yaan asubuhi tunaamka mafuta yameisha yote chini tukaanza msako tulipo wakamata walikua wamezilai tu tukawafunga na waya kwenye mkia ili wasikimbie wakipata faham....tulichukua bomba la sindano tukachemsha maji tukawa tunawapiga sindano za maji ya motooo maana walifanya uharibifu mkubwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]hivi ulisha wahi ona machozi ya panya sasa mm niliyaona [emoji41][emoji41][emoji41]

hapana hii mlizidisha aisee.bora mngewala tu[emoji853]
 
Back
Top Bottom