je! Kunakua na tofauti yeyote? Maana ikiwa miezi9 nahisi njia itakua imeongezeka tayari kwa kujifungua so!Inaruhusiwa kufanya tendo la Ndoa wakati wowote(Hata kama ana mimba ya mwezi mmoja au miezi tisa) wa ujauzito wake mpaka pale tu atakapoanza uchungu(Labour) au 'Chupa kupasuka'(Rupture of Membrane, PV Leakage).
Vinginevyo itakatazwa na Daktari tu kama ana tatizo la kiafya linaloweza kuathiri ujauzito wake kama atashiriki tendo la ndoa nk kama Cervical Incompetence, Threaten Abortion, STIs etc.