plz ninaomba kujua niwakati gani ukifikia kwa mama mjamzito haruhusiwa kufanya tendo la ndoa na pia katika kufanya kuna kiwango chochote au umakini wowote unaotakiwa zaidi wakati wakufanya ili isilete madhara kwa mtoto ?? pls napmba msaada katika hili especial kwamama aliyetimiza miezi zaidi ya sita