Niwakati gani naweza kupata mtoto wakike au wakiume kulingana namzuko wa mwenza wangu

TOTS SHALO

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
152
Reaction score
25
Naomben kuelekezwa jins yakupata mtoto wakike au wakiume kulingana namzunguko wamama. Anaejua naombeni msaada please.
 
ungeeleza mzunguko wako niwa siku ngapi ila ni vyema ukaangalia kwenye jf docta kuna jamaa kaeleza haya mambo kwa undani na ustadi mzur sana
 
Nakushauri ugoogle utapata tu ila kama unataka mtoto wa kiume kwa mwanamke anayeenda siku 28 mzunguko unatakiwa usex naye masaa kadhaa kabla ya siku ya 14 na siku 14 15 16 hapo utampata na kwakuwa yai hutoka katika ovari siku ya 14 na hivyo uchavushaji hufanyika ndani ya falopian tube mtoto wa kiume atapatika kwani mbegu za YY huogolea haraka.
Vile vile zingatia stile katika siku hizo na uwe umekula vizuri na haujafanya kama siku 2 hadi 3 ngono.
Mimi binafsi nilifanya hivyo kwa mke wangu na nina watoto 2 wa kiume kwa sasa.


Naomben kuelekezwa jins yakupata mtoto wakike au wakiume kulingana namzunguko wamama. Anaejua naombeni msaada please.
 
nDUGU ASIKUDANGANYE MTU NJIA RAHISI YA KUPATA MTOTO WA JINSIA UNAYOTAKA NI MPANGO WA MUNGU YAANA KUMWOMBA AKUPE UNAYEMTAKA.NPM NIKUPE MIUJIZA
 
wAtaalamu wenyewe wameshindwa kumtibu mtoto atakayezaliwa mwezi wanane.pIA WATALAMU HAO NI 4O % 6O% NI MUNGU nyongeza ya udhaifu ya watalamu ambao ni binadamu wameshindwa kutuambia kumzuia mtu asife so ma dear friend believe in God everythings gona be right
 

thex mkuu nimekuxoma pamoja xana nitarifanyia kazi after work nitatoa majibu hapahap.
 
Naomba nitajue hiyo mada inasemaje kwani nami nataka kujua zaidi
ungeeleza mzunguko wako niwa siku ngapi ila ni vyema ukaangalia kwenye jf docta kuna jamaa kaeleza haya mambo kwa undani na ustadi mzur sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…