Elections 2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

Nakupa big up senior ila naomba kutoa utetezi kidogo kwa upande wa CCM ila mimi sio mwanachama wa chama hicho unachotakiwa kuangalia je CCM imeifanyia nini umma kwa ujumla na sio imekufanyia nini wewe:A S thumbs_up:
 
Usidanganyike na wingi wa watu kwenye mikutano.Unajua Dkt Slaa ana mtandao mkubwa wa mavuvuzela wanaompigia debe kama wewe hapo.Hivyo watu huamua kwenda kumuona tu si kwamba wanampenda.Mwishowe wengi huishia kama mimi baada ya kumsikia porojo zake za ufisadi kumbe fisadi ni yeye mwenyewe.
Lazima nikose usingizi.Najiuliza mtu kama huyu akiingia ikulu itakuwaje.Ni balaa tupu baada ya balaa!.
 
Watanzania wameshaamua kumpandisha cheo Dr. Slaa kutoka mbunge aliyetukuka na kuwa rais wa nchi. Msiompenda katafuteni kamba mjinyonge.
 
Mwanetu,
Si wewe juzi juzi ulikuwa unamfagilia Kikwete? Imekuwaje?
 
uprof wa lipumba ni wa makaratasini kwenye siasa ni pumba ka jina lake. jk ka mkweli mbona kashindwa kuwawajibsha hao wanaomzunguka?/ bahati nzuri humu ndani n wasi wazuri hawadanganywi kwa propaganda. mweye macho haambiwi tazama.
 

Vuvuzela la Kikwete hilo. Llimegubikwa na udini na ilimu ya madrasat al sul.
 

slaa bado mchanga kwenye siasa bora hata lipumba...ccm wataongoza the next 5 yrs ambapo slaa atakuwa amekua
 
slaa bado mchanga kwenye siasa bora hata lipumba...ccm wataongoza the next 5 yrs ambapo slaa atakuwa amekua
Umeuona ukweli unaoongezeka kadiri oktoba 31 inavyokaribia.Huyu mtu ni afadhali ajitoe.
Naomba nisaidie e-mail ya Kikwete nizungumze naye moja kwa moja kama nilivyofanya kwa maalim Seif kupitia mtandao wake.
Nataka nimshauri mambo mengi ambayo mengi siwezi kuyataja hapa mbele ya mavuvuzela wa dkt Slaa.Muhimu zaidi ni kuwa akiingia Ikulu aunde namna fulani ya serikali ya mseto kama atakayounda maalim Seif.Lipumba asimwache kabisa.Na Lipumba asione kinyongo kupokea uwaziri wa wizara ya Uchumi katika matayarisho yake kupokea uongozi mwaka 2015.
Kuhusu dkt.Slaa amuachie ugomvi wake na bwana Mahimbo.
 
Puresha inapanda inashuka. Fainali ni 31Oktoba, wiki mbili kuanzia leo.

Kikwete na familia yake wajiandae kuondoka Magogoni ili wakapumzike kwa amani huko kwenye makasri waliyojipatia kwa wizi wakijiandaa kukumbana na sheria walizoshindwa kusimaia wakati wakiwa wakazi wa Magogoni.
 
Mwambie na Slaa ajiangalie ataishi vipi baada ya oktoba 31.Atawaangaliaje mashabiki wake akina wewe.Leo nimesikia kumbe ni muuwaji mzowefu.Angalieni na akina nyinyi baada ya matokeo kutolewa na Kikwete kuwa juu.
Siku hiyo mukae mbali nae kuhusiana na usalama wenu.
 
Anayesema Kikwete anafaa nadhani anaumaskini wa kufikiria na hajijui wala hajui watanzania tuna matatizo gani mpaka sasa! Mikataba ya madini imekuwa siri ya mafisadi na madini yakiisha tutakuwa maskini wasio na milango ya kutokea.Kama hujui elimu ya tunu yetu kutoka kwa mungu yaani Dr.Slaa kanunue kitabu chake kilichotolewa juzi ukasome ujue yeye ni nani. Usiwe na mawazo mgando maana udokta wake sio wakuzawadiwa, amekaa nyuma ya dawati takribani miaka 25. Bila Dr. Slaa jiandae kula majani. Watanzani tunafikiria kubadili uraia halafu tuombe kazi Tz ili mshahara upande kama wageni wanaotukuzwa na JK mwenye dokta uchwala.Tumia akili kaka au dada!
 
Ungeweza kupaste tu avatar yako na ujumbe ungefika
 
hhahhaaa watu wengine wanatoa hoja kama za wivu wa mapenzi... ooh mi simpendi tuu kwa nini sijui???!! Hahahaaaaaa wewe ni replica ya mafisadi. Li-pumba hawezi wala hatakuwa rais wa TZ kamwe.. Hana ushawishi wowote wa dhati ila Slaa kaonyesha kumbuka 2007 hapakukalika wenzio nusura wakimbie nchi.. Shame on u shame on Mafisadi.. Slaa amesoma vyeti zaidi ya saba nitumie e-mail nikupe.. amesomea kitu wanaita post-graduate in rural development pia na Leadership achana na hizo philosophy za kanisa keshazisahau.. ndio maana huwa anashinda ubunge kama anakunywa maji ya Kilimanjaro... Slaa na JK walikuwa maraisi wakati wakiwa chuoni lakini Li-pumba alishindwa hata u-class rep.. JK kapewa nafasi lakini kashindwa aakae pembeni wengine waonyeshe uwezo... Slaa juu juu zaidi...
 
hamna mtu mnafiki kama Prof. Mapumba na kuhusu uaminifu huyo Prof. Mapumba si alikuwa na kashfa ya kutembea na Georgina Mtenga kipindi alipokuwa Prof. UD na Georgina mwanafunzi au unadhani watu hatujui uasherati wake? Au uislam unaruhusu hayo ustaadh? na huo uchumi unaomsifu nao mbona CV yake si nzuri alikuwa mshauri kwa Mseveni na Ali Hassan Mwinyi mbona hatukuona mabadiliko kiuchumi na kote huko alitimuliwa!
 
hamna mtu mnafiki kama Prof. Mapumba na kuhusu uaminifu huyo Prof. Mapumba si alikuwa na kashfa ya kutembea na Georgina Ngatenga kipindi alipokuwa Prof. UD au unadhani watu hatujui uasherati wake? Au uislam unaruhusu hayo ustaadh?
Yawezekana unayosema yakawa kweli.Sikia nikwambie!.Kila binadamu ni mkosa,na mkosa aliye bora ni yule aliyetubia.Hivi ndivyo uislamu unavyosema.
Dalili ya kutubia ni kuachana na kosa ulilotenda.Ikiwa Lipumba alikuwa hivyo,Kikwete vile na Makamba vile...Hiyo ni nafuu.Mungu anajuwa alivyowahukumu.Lakini huyu Slaa kwa makosa yake ni mwenye kibri.Kakiri kuwa na uhusiano na mke wa mtu,eti alikuwa hajui kuwa ni mke wa mtu.Hii ni dalili ya mtu mwenye kukurupuka tu.
Mambo ya kutafuta mchumba ni nyeti sana,ikiwa kadanganywa kiasi hicho na Josephine na yeye hakuona umuhimu wa kuchunguza,atadanganywa na wangapi atakapokuwa raisi.Anaweza kuiuza nchi kwa Majangili wa Ulaya na Marekani.
Kwa namna alivyopigwa chenga na Josephine na kuingia mtego wa CCM nina shaka na hata hayo mabomu yake kuwa ni mabomu aliyobambikizwa ayataje na wabaya wa watu wanaohasimiana.Kwa kifupi si mtu makini na amejaa uadui.
 
mimi nakushauri kama ungeweza kuwashawishi hawa uliowaochambua katika nafasi ya urais
wafanye mdaharo nafikiri ungejiona hufai kusimamia hata interview za kuandikisha
watoto wanaanza chekechea maake inaonekana huna pa kuanzia ktk kumtahini mtu.
POLE SANA.
 
Mimi nadhani Ami anasumbuliwa na udini, Uislam, ushahidi ni hiyo avatar yako. Pia hizo waraka waislam wamekuwa wakitoa nadhani kuna kitu.
Conclusion yangu yangu ni kuwa:
1. Waislamu wako tayari kumpigia kura JK si kwa sababau si mchapa kazi bali tu ni muislam
2. Waislam ni watu hatari sana kwa kudhania kuwa hii nchi ni yao peke yao. Wasisahahu madudu aliyofanya huyo Firauni JK yanawaathiri wao pia. pia wasisahau kuwa mazuri yote yatakayoletwa na Prezida wetu Dr Slaa nao watafaidi pia. Acheni ughaidi!
3. Unafiki, kutoeleza ukweli wa mambo inaonesha mtoa mada hana elimu ya kutosha, nashawishika kudhani kuwa huyu jamaa kasoma madrasat, akajifunza kutumia computer ndo anaanza kuchangia humu. kwa Taarifa yako, Dr Slaa ana Shahada ya UZAMIVU (Philosophia Doctorae au PhD) na kwa elimu yake, wanasiasa wote presha inapanda, presha inashuka.
4. Mwisho, hakikisha 31.10 kura yako unampa DR SLAA.
HATUDANGANYIKI. VOTE FOR DR SLAA
 


Chagua kikwete, chagua CCM
 
Wewe ni mtu wa kudanganyika tu.Unadhani kwa kuitwa dkt.Slaa, huyu mtu wako ana elimu kuliko mimi niliyesoma madrasa!.Kama kweli ana elimu wala asingefanya madudu anayoendelea nayo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…