Elections 2010 Niwaonavyo wagombea watatu wa urais

Asante kwa uchambuzi wako wa kina. Ama kweli kuna watu wamesoma, na ni vyema kusikiliza watu waliosoma na kuelimika na kuitumia elimu yao ktk kusaidi wananchi wote bureeeee.

Sasa msiposikia ya mkuu mtavunjika guu. Ushauri ni wa buree.

UCHAGUZI NI KATI YA KIKWETE NA LIPUMBA, YAANI 'K' na 'L'
 
 
Mnaweza kubishana bureeee kumbe jamaa ni mdini tu,wala msihangaike?kikubwa tar 31.10.2010 pale ndo tutajua kama Dr. Slaa hana elimu kama dr. Kikwete
 
Mnaweza kubishana bureeee kumbe jamaa ni mdini tu,wala msihangaike?kikubwa tar 31.10.2010 pale ndo tutajua kama Dr. Slaa hana elimu kama dr. Kikwete
Udini ni msamiati tata ulioanzishwa wakati wa Nyerere.Iwapo maana yake ni kuonesha imani ya mhusika katika utendaji wa jambo,basi udini mbaya upo Chadema na ni ule alionao mgombea wake dkt.Slaa.Huyu jamaa alipokuwa akijifanya msemaji sana bungeni,hakuwahi kutetea jambo lenye maslahi na nchi lililoutaja uislamu.Kinyume chake alikuwa ni mpinzani mkubwa wa chochote chenye nembo ya uislamu.
Wagombea wanaogombea kupitia Chadema ambao ni waislamu hawapati ushirikiano mzuri na wanapopatwa na matatizo hawashughulikiwi kichama.
Nimefurahi kuwa katika mdahalo wa star TV kati yake na Kinana wa CCM,Slaa ameshindwa vibaya na kaboronga katika suala la kutoa matibabu bure kwa wananchi.
 

yaani we ndo mdebweeedo kwelikweli!
 
Watanzania wameshaamua kumpandisha cheo Dr. Slaa kutoka mbunge aliyetukuka na kuwa rais wa nchi. Msiompenda katafuteni kamba mjinyonge.

Kaazi kweli kweli. Ina maana Mkuu Jasusi Slaa akishindwa UTAJINYONGA. Siasa ni ushindani, mnashindana anayeshinda mnaungana kulisukuma mbele Taifa. Huu utofauti wakati wa kampeni usituvunjie Taifa letu.
 
TAIFA HALIVUNJIKI WALA HALITAVUNJIKA KWA KUWA SIASA HAZIKUANZA LEO.
Wanaofanya fujo ni wachache wasio na uelewa wa mambo fulani especially "TANZANIA NI MOJA NA RAIA WAKE NI NDUGU".

Mungu ameilinda Tanzania na anaendelea kuilinda.
Amani ya Tz haijawahi kutokana na siasa na wala haitatokana na siasa.
 
Hiyo ni sawa kabisa.
 
hahahahaaaa! kampikie Kinana chai bana! kisha ukamburudishe makamba ......usisahau kuvaa shanga
 
hahahahaaaa! kampikie Kinana chai bana! kisha ukamburudishe makamba ......usisahau kuvaa shanga
Bigirita wacha matusi.Hujui ni nani wa kumwambia maneno hayo?......
 
duu ndo walewaleee elimu yake duni na mawazo yake finyu upeo ndo empty tarehe 2 akiapishwa hama nchi asikuongoze dr.wa ukweli mkristo.
 
Tatizo ni nini kwa sisi watanzania?mbona watu wanashindwa kujua nini tunataka?haya bana wajinga ndio waliwao ujinga tutakaoufanya tarehe 31/10/2010 utatucost maisha,sitaki baadae nisikie hawa wajinga wakilia njaa na kusaga meno.itwabidi wasubiri miaka mitano ijayo.Mungu ibariki Tanzania
 

tutajie jina la first lady tukimpa urais lipumba!!!!!
 
Avatar yako imeisha nipa jibu kwa nini umeandika hivyo. Ondoa udini wako hapa sisi ni watanzania wa kitanganyika na kizanzibar na uislamu ni wa kiarabu na ukristu ni wa kimagharibi sasa kwa nini tugombane kwa hili?
 

lipumba alisha kuwa mshauri kwa serikali ya ccm, si tu kwamba hatukufanya vizuri kiuchumi, bado dhahabu yetu haikulindwa, msijitume kufikiri lipumba anaweza kuisaidia tz.
 

Tumekuelewa vizuri. Wewe unataka mtu yeyote wa dini yako na unamkataa yeyote asiye wa dini yako. Kwako wewe hakuna sifa ya uongozi zaidi ya hiyo. Huo ndio UDINI, na ni mbaya sana kwa nchi yetu.

Wewe ni mtu hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…