Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Heri ya nusu mwaka , ngoja niwape maua yao watu wafuatao 😂😂
Wanaume wote ambao wako kupambania familia zao no matter what!! Mungu awabariki sana
Wanawake wote masingle maza waliachiwa watoto ilihali wanasonga mbele na watoto wao, mbarikiwe sana
Vijana wooote ambao hawachagui kazi wanapambana kwa kazi yeyote halali kujipatia kipato kuliko kubweteka home au kwa shemeji. Hongereni sana
Wanaume wote ambao wameweza kutuliza wake zao kwa kuwanyandua na mahitaji yao nyumbani,pia nyie hongereni mnoo 😂😂
Wanawake woote ambao wanavumilia changamoto za waumezao kwa kutetea muktabadhi wa watoto wao!! Pongezi kwenu💪
Mashujaa wote ambao hawaishi kwa uchawa wa kuvua utu wao chini. Hakika pongezi kwenu🤝
Wote ambao hawaendeshwi na nyege umiza katika maisha yao. Hongereni sana hakika nyege si kitu😂
Wanawake wote wapambanaji wasiosubiri pesa za manyanyaso na masimango kutoka kwa wanaume.
Wote ambao hawaishi kwa kubembeleza sana mtu aendelee kubaki katika maisha yao wao wako tayari mwache aendee. Hongereni sana kweli acha akwendee
Wote ambao......
Wanaume wote ambao wako kupambania familia zao no matter what!! Mungu awabariki sana
Wanawake wote masingle maza waliachiwa watoto ilihali wanasonga mbele na watoto wao, mbarikiwe sana
Vijana wooote ambao hawachagui kazi wanapambana kwa kazi yeyote halali kujipatia kipato kuliko kubweteka home au kwa shemeji. Hongereni sana
Wanaume wote ambao wameweza kutuliza wake zao kwa kuwanyandua na mahitaji yao nyumbani,pia nyie hongereni mnoo 😂😂
Wanawake woote ambao wanavumilia changamoto za waumezao kwa kutetea muktabadhi wa watoto wao!! Pongezi kwenu💪
Mashujaa wote ambao hawaishi kwa uchawa wa kuvua utu wao chini. Hakika pongezi kwenu🤝
Wote ambao hawaendeshwi na nyege umiza katika maisha yao. Hongereni sana hakika nyege si kitu😂
Wanawake wote wapambanaji wasiosubiri pesa za manyanyaso na masimango kutoka kwa wanaume.
Wote ambao hawaishi kwa kubembeleza sana mtu aendelee kubaki katika maisha yao wao wako tayari mwache aendee. Hongereni sana kweli acha akwendee
Wote ambao......